spray
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 277
- 241
Mimi ni mdau mkubwa wa michezo, napenda sana michezo...
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikitazama na kufatilia sana michezo ya olimpiki, kiukweli sio tu unaenjoy mchezo lakini pia unajifunza vitu vingi sanasana toka pale viwanjani, waandaaji, washiriki, wafanyabiashara, matangazo nk nk... Mara nyingi nimekua nikijuliza hivi kweli haiwezekani nasie tuje tupeleke wanamichezo angalau katika atleast aina ya michezo hata kumi tu hivi, maana aina ya michezo ni mingi, nafikiria kama michezo wa kuogelea nk, jana nimeangalia wee, leo since asbh nafatilia, yani Mi sidhani kama tukiwa serious hatuwezi kupeleka watu wa aina mbalimbali kule, TZ imebarikiwa maziwa, mito, bahari jamani si watu kupewa tu mbinu na kuwaleta ktk maswimming pools na kupelekwa nje mazoezini kwa kipindi flani jamani, Mi sikubali kama Watu hawawezi kufikia viwango.. Urushaji sijui matufe, kukimbia na vijiti nk yani watu wapo bwana,.jamani nini kifanyike, hata tukaweka target ya ten years from now watu wawe tayari si tunaweza jamani?! Wenyewe wameweza sie hatuwezi kushindwa... Mimi huwa sikubaliani na watu wenye kukata tamaa, tupush hili liwezekane jamani, mfano naona nchi nyingi za kiafrica this time round wanazidi kujitahidi kupeleka wana michezo wa aina mbalimbali, na sie tujiandae twende, why not us?!!
Kila Kitu kinawezekana...
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikitazama na kufatilia sana michezo ya olimpiki, kiukweli sio tu unaenjoy mchezo lakini pia unajifunza vitu vingi sanasana toka pale viwanjani, waandaaji, washiriki, wafanyabiashara, matangazo nk nk... Mara nyingi nimekua nikijuliza hivi kweli haiwezekani nasie tuje tupeleke wanamichezo angalau katika atleast aina ya michezo hata kumi tu hivi, maana aina ya michezo ni mingi, nafikiria kama michezo wa kuogelea nk, jana nimeangalia wee, leo since asbh nafatilia, yani Mi sidhani kama tukiwa serious hatuwezi kupeleka watu wa aina mbalimbali kule, TZ imebarikiwa maziwa, mito, bahari jamani si watu kupewa tu mbinu na kuwaleta ktk maswimming pools na kupelekwa nje mazoezini kwa kipindi flani jamani, Mi sikubali kama Watu hawawezi kufikia viwango.. Urushaji sijui matufe, kukimbia na vijiti nk yani watu wapo bwana,.jamani nini kifanyike, hata tukaweka target ya ten years from now watu wawe tayari si tunaweza jamani?! Wenyewe wameweza sie hatuwezi kushindwa... Mimi huwa sikubaliani na watu wenye kukata tamaa, tupush hili liwezekane jamani, mfano naona nchi nyingi za kiafrica this time round wanazidi kujitahidi kupeleka wana michezo wa aina mbalimbali, na sie tujiandae twende, why not us?!!
Kila Kitu kinawezekana...