Olivier Giroud anaenda kuwa mfungaji bora wa jumla wa Ufaransa kupitia Kombe la Dunia 2022

Olivier Giroud anaenda kuwa mfungaji bora wa jumla wa Ufaransa kupitia Kombe la Dunia 2022

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Jamaa kashamzidi Michael Platini, David Trezeguet na Zinedine Zidane kwa idadi ya magoli kwenye Timu yaTtaifa ya Ufaransa. Amebakisha magoli mawili kuifikia rekodi ya Thierry Henry.

Anaonekana kama mchezaji anyedharauliwa zaidi hapa duniani na ninaona akienda kupata kuanzia magoli matatu (ili afikishe 52) Kombe hili la Dunia na kuwa mfungaji bora wa wakati wote wa ufaransa.
 
Kesho uutumie kama kitafunwa hapo nyumbani kwa shemeji yako.
Wewe ambaye muda wote unashinda Jf kupost pumba kuna uwezekano mkubwa upo kwa shemeji kula kulala bila Kazi yeyote.
 
Umewezaje kuniona muda wote kama wewe haupo jf muda wote? Kazi yako hapa jukwaani ni kufuatilia wanaume?
Na wewe umenionaje kuwa nipo kwa shemeji na na nakunywa chai kwake ?Kazi yako hapa jukwaani ni kufuatilia wanaume ?
 
... waarabu wameshalambishwa tayari.
 
ni kweli giroud ni most undarated striker , ukicheki record zake kuanzia ngazi ya club to national team utakubaliana na wewe
Kilichomkwamisha huyu jamaa ni kupoteza nafasi nyingi. Unakuta anapata clear chance tano lakini anafunga moja ndio maana anachukuliwa poa.
 
Hatimaye sasa Giroud ndiye mfungaji bora wa wakati wote kwa timu ya taifa ya ufaransa, magoli 52.
 
Safi sana Giroud mzee wa header.🔥
 
Back
Top Bottom