Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na upinga Kristo

Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na upinga Kristo

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Ufunguzi huo uliosheheni nakshi nashi za namna yake umepigwa vikali na vikundi vya watu wenye imani kali; wakiishutumu Ufaransa ambaye ndiye mwenyeji wa michezo hiyo mwaka huu kuwa maonyesho yalijaa viashiria vya kukashifu ukristo na ushetani mwingi.

Mfano maigizo yaliyoiga namna Yesu alivyokula mlo wake wa mwisho pamoja na wanafunzi wake. Ila namna ya UALFABET.
20240727_130110.jpg


Na mfano mwingine ni farasi mwenye rangi ya kijivu akiwa amepandwa na aina fulani ya mtu au "death eater" kwa wasemavyo wao.

Hawajaishia hapo; waliweka mfano wa mstari katika biblia ukitafsiri picha hiyo kwa kutumia kitabu cha UFUNUO WA YOHANA 6:8

20240727_130011.jpg


Ufunuo wa Yohana 6:8

[8]Nikaona, na tazama, farasi wa rangi ya kijivujivu, na yeye aliyempanda jina lake ni Mauti, na Kuzimu akafuatana naye. Nao wakapewa mamlaka juu ya robo ya nchi, waue kwa upanga na kwa njaa na kwa tauni na kwa hayawani wa nchi.

And I looked, and behold a pale horse: and his name that sat on him was Death, and Hell followed with him. And power was given unto them over the fourth part of the earth, to kill with sword, and with hunger, and with death, and with the beasts of the earth.
 
Habarini waumini..

Jana katika sherehe za uzinduzi wa mashindano ya Olimpiki, tuliona matukio mengi na moja ya tukio lililo acha maswali mengi ni lile la kuigiza picha ambayo ina maudhui yanayo fanana na dini ya kikiristo.

Matumizi ya watu wa upinde kama wahusika katika picha hii ni ishara kwamba hawajali na wanadharau waumini pamoja na kitabu chao. (Biblia).

20240727_142934.jpg


20240727_145418.jpg


Tukio lingine ni matumizi ya picha au alama ya kichwa cha ng'ombe, hii inafanana kabisa na ishara ya kuabudiwa kwa mungu aitwaye BAAL' ambaye anatambulika kwa alama ya kinyago chenye sura ya ng'ombe.

20240727_142523.jpg


Huu ni ushetani, hawana nia njema na waumini wa dini na wanafaya kila wawezalo kudhalilisha dini hizo.Lakini jambo la kushangaza ni kwamba, waumini wa dini bado ndyo mashabiki namba moja wa michezo hiyo.

Ni wakati sasa wa kuona na kujua kwamba adui yupo anafanya kila awezalo kutimiza malengo yake. Anatumia michezo kama jukwaa la kuonyesha na kudhalilisha waumini wa dini husika.
 
Habarini waumini..

Jana katika sherehe za uzinduzi wa mashindano ya Olimpiki, tuliona matukio mengi na moja ya tukio lililo acha maswali mengi ni lile la kuigiza picha ambayo ina maudhui yanayo fanana na dini ya kikiristo.

Matumizi ya watu wa upinde kama wahusika katika picha hii ni ishara kwamba hawajali na wanadharau waumini pamoja na kitabu chao. (Biblia).

View attachment 3053686


Tukio lingine ni matumizi ya picha au alama ya kichwa cha ng'ombe, hii inafanana kabisa na ishara ya kuabudiwa kwa mungu aitwaye BAAL' ambaye anatambulika kwa alama ya kinyago chenye sura ya ng'ombe.


View attachment 3053699

Hawa watu ni mashetani, hawana nia njema na waumini wa dini na wanafaya kila wawezalo kudhalilisha dini hizo.

Lakini jambo la kushangaza ni kwamba, waumini wa dini bado ndyo mashabiki namba moja wa michezo hiyo. Ni wakati sasa wa kuona na kujua kwamba adui yupo anafanya kila awezalo kutimiza malengo yake.

kwa walio tazama shughuli za Olimpiki hapo jana, ni tukio lipi lingine lilikupa mashaka kutokana na maudhui yake?
Sekta ya burudani iwe ni michezo, muziki, filamu, na kadhalika ina ushetani mwingi tu na ni kawaida sana tu wala hamna jipya hapo ila hayo mwisho wake u karibu sana na na shetani anajua ana muda mchache sana so haya mambo ya kishetani nayo yanafanyika kwa kasi sana. Hivyo tegemea sana kuyaona haya.
Kama umempa Yesu maisha yako una heri kama bado mpe leo.
 
Kama wana ubavu basi wajaribu hizi parody kule upande mwingine wakione cha moto wajinga hawa. Ajenda za ushoga kila mahali. Hovyo kabisa!

Screenshot_20240727_144808_US Newspapers.jpg


 
Sekta ya burudani iwe ni michezo, muziki, filamu, na kadhalika ina ushetani mwingi tu na ni kawaida sana tu wala hamna jipya hapo ila hayo mwisho wake u karibu sana na na shetani anajua ana muda mchache sana so haya mambo ya kishetani nayo yanafanyika kwa kasi sana. Hivyo tegemea sana kuyaona haya.
Kama umempa Yesu maisha yako una heri kama bado mpe leo.
Kweli kabisa michezo inatumika sana na hao mashetani, wanajua watu wengi wanapenda na wanaingiza machafu yao humo ili kuwanasa walio wengi
 
Back
Top Bottom