Olympic nimeona hadi black Japanese

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Olympics ya mwaka huu nimeona Black Japanese...naona watu weusi hii sector ya michezo hatuna mpinzani..

Aibu ni Sisi Tu watanzania...hakuna hata Mtanzania wa nchi nyingine kweli?

Yaani kuna wakenya wanawakilisha Hadi nchi zingine..Sisi tuna watanzania watatu Tu? Hata mabondia wa kuwakilisha nchi za kiarabu hatuna???
 
Kuna dada yetu anaitwa malaika mihambo anawakilisha germany kwenye long jump
 
Sisi wabongo bado sana kwenye nyanda hizi,wa japan kufanya ivi wanaelewa mwelekeo wa maisha unabadirika mbele ya safari.Miaka ya nchi kujitenga na kutaka kuwa 'pure' imepitwa na wakati.Ulimwengu umekuwa kijiji, sina maaana mambo yote poa huko japan,ila angalau wanajitayarisha na mabadiriko.Sasa hapa bongo huyo mtanzania aliezaliwa hapo vizazi na vizazi akikamata gamba la nchi nyingine tu anaambiwa msaliti na si mzalendo,hatuwezii kujifananisha na hao, wenzetu wana upeo tofauti.
 
Mie lazima nikaache mbegu huko Urusi mwanangu aje kuwa first black president Urusi.


Acha mbegu hapahapa akitoboa huyu wa hapa ndipo uende ukaache mbegu nyingine huko Russia, lakini kumbuka isiwe mbegu ya "bangi"!!
 
Big 3 basketball
3 China bronze
2.Russia silver
1 . USA gold
 
USA Basketball naona hawapati medali yeyote kwenye basketball wanaume..

Big 3 wanaume hawapo hata top 7
 
My favourite athlete in the tournament so far is Barbra Banda from Zambia,huyu dada anaupiga mwingi sana
Yule si wa kawaida.. ana kiwango cha hatari sana... Wale Brazil walikuwa wanakula bao la TANO lakini akavutwa na mvutaji akapewa straight red card.. Banda si mchezo
 
Big 3 men.
1.latvia
2.Russia
3.serbia
 
Yule si wa kawaida.. ana kiwango cha hatari sana... Wale Brazil walikuwa wanakula bao la TANO lakini akavutwa na mvutaji akapewa straight red card.. Banda si mchezo


Tafuta picha za kipa WA Brazil uziweke hapa

Halafu utaniambia
 
Yule si wa kawaida.. ana kiwango cha hatari sana... Wale Brazil walikuwa wanakula bao la TANO lakini akavutwa na mvutaji akapewa straight red card.. Banda si mchezo


Tafuta picha za kipa WA Brazil uziweke hapa

Halafu utaniambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…