TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Wakuu tuendelee kuvuta subra huku tukiwaomba jamaa waanzishe Vipengele tajwa hapo Juu!
Kama hawatoanzisha hivyo Vipengele na kama Taifa tutaendelea kujipa matumaini "Eti" ipo siku yetu,Hiyo siku tutaisubiria sana na haitotokea!
Nina Jeuri ya kusema hivyo kwasababu,kadiri miaka inavyozidi kusonga,hapa Tanzania ndivyo rate ya Umbeya na Ujinga nayo inazidi kuongezeka!,wakati FILBERT SANKA BAYI anachukua medali mwaka 1974 rate ya Umbeya na Ujinga (Uchawa) ilikuwa ndogo,hivyo tusitegemee kuona medali ya aina yeyote katika kipindi ambacho rate ya Umbeya & Ujinga vikiwa juu kwenye kilelel.
NEVER.
Kama hawatoanzisha hivyo Vipengele na kama Taifa tutaendelea kujipa matumaini "Eti" ipo siku yetu,Hiyo siku tutaisubiria sana na haitotokea!
Nina Jeuri ya kusema hivyo kwasababu,kadiri miaka inavyozidi kusonga,hapa Tanzania ndivyo rate ya Umbeya na Ujinga nayo inazidi kuongezeka!,wakati FILBERT SANKA BAYI anachukua medali mwaka 1974 rate ya Umbeya na Ujinga (Uchawa) ilikuwa ndogo,hivyo tusitegemee kuona medali ya aina yeyote katika kipindi ambacho rate ya Umbeya & Ujinga vikiwa juu kwenye kilelel.
NEVER.