Mwanakijiji,
..unajua suala hili limekuwa likiniumiza kichwa kidogo.
..tunao wanariadha wengi tu waliopata mafunzo Marekani[Filbert Bayi,Nyambui, Shahanga,Zakaria Barie,Ikangaa] sijui wanatumiwa namna gani.
..kuhusu mbio fupi nadhani ziko very scientific zinahitaji vifaa kuliko mbio ndefu[100m to Marathon]
..inawezekana kipindi kile raw talent ndiyo iliyotuletea mafanikio yale. lakini inasemekana Filbert Bayi trained for 6 solid months kabla hajavunja rekodi ya 1500m.
NB:
..pia tulikuwa viongozi na mawaziri wanaopenda na kujituma ktk suala zima la michezo.
..Maj.Gen.Mirisho Sarakikya yeye mwenyewe alikuwa ni mwanamichezo. Chediel Mgonja alikuwa mhamasishaji mzuri sana. hata hii michezo ya halaiki tuliiga baada ya ziara ya Mgonja China.
..unajua suala hili limekuwa likiniumiza kichwa kidogo.
..tunao wanariadha wengi tu waliopata mafunzo Marekani[Filbert Bayi,Nyambui, Shahanga,Zakaria Barie,Ikangaa] sijui wanatumiwa namna gani.
..kuhusu mbio fupi nadhani ziko very scientific zinahitaji vifaa kuliko mbio ndefu[100m to Marathon]
..inawezekana kipindi kile raw talent ndiyo iliyotuletea mafanikio yale. lakini inasemekana Filbert Bayi trained for 6 solid months kabla hajavunja rekodi ya 1500m.
NB:
..pia tulikuwa viongozi na mawaziri wanaopenda na kujituma ktk suala zima la michezo.
..Maj.Gen.Mirisho Sarakikya yeye mwenyewe alikuwa ni mwanamichezo. Chediel Mgonja alikuwa mhamasishaji mzuri sana. hata hii michezo ya halaiki tuliiga baada ya ziara ya Mgonja China.