Oman waamua kutujengea VIP na maduka kwenye Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro

Oman waamua kutujengea VIP na maduka kwenye Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro

Kama mtabaki kuwaza mawazo mgando hivyo Basi mtatuweka miaka 100 kwa umasikini huu huu

Hata wao walisaini mikataba ya uhakika kwa mafuta yao tena sio wao tu ni waarabu wote wenye mafuta walijielewa pindi walipoijiwa na wazungu
Leo wanakula matunda ya mikataba iliyokuwa na masilaha na wananchi wao

Sisi unamwachia mtu biashara siku ya kwanza anaiba
Kama tutakuwa wakweli Sisi ni waoga ama ni udhalili wa kuwanyenyekea watu wa nje badala ya kuwa serious na maslahi yetu

Tunakubali kila kitu bila kuuliza why ?
Hivi unajengewa kitu au unapewa kitu hujiulizi kuna nini mbeleni

Tuchukulie maisha ya kawaida tu jirani kila leo anakuletea maini unacheka tu na kupokea kisa anakuzidi kipato kumbe anatafuna hapo

Maisha yote yanafanana iwe individuals au nchi kama nchi

Kama wanataka kitu wasaini kwa maslahi yetu Hakuna cha miaka 100
Hata wao walisaini mafuta na mzungu miaka 50 tu Ndio maana leo 100% ni yao baada ya mkataba kuisha juzi juzi tu

Wake up acheni kujioendekeza wakati nyie utajiri mnao ila wanyonge sana
 
Kulianzishwa hifadhi kule ya Burigi-Chato labda ndio ulikuwa mwanzo wa mkakati wa kutorosha wanyama!
Ukumbuke samia ni mwarabu , JPM ni mwafrika na wanyama wanapelekwa Uarabuni. Nani wa kupeleka wanyama uarabuni hapi?
 
Oman kupitia Shirika lake la Viwanja vya ndege vya Oman Jumatatu Juni 13 walisaini mkataba wa makubaliano (MoU) na Kampuni ya Maendeleo ya Viwanja vya Ndege ya Kilimanjaro (KADCO) ili kuendeleza jengo la abiria la VIP katika Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro.

Makubaliano hayo yalitiwa saini na Abdul Nasser Abdullah al Yamani, makamu wa rais, Maendeleo ya Biashara, Viwanja vya Ndege vya Oman, na Christine Mwakatobe wa KADCO.
View attachment 2263284
Makubaliano hayo yanaeleza kuwa Shirika la Viwanja vya Ndege vya Oman litafanya uendelezaji wa Jengo la Watu Mashuhuri (VIP) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro, Ujenzi wa hoteli ya nyota tano kwa ajili ya abiria na jengo la biashara/maduka makubwa katika uwanja huo.

MY TAKE;

Wanyama wetu watapona? Madini yetu ya Tanzanite je?

=====

Muscat. Oman Airports has on Monday June 13 signed a memorandum of understanding (MoU) with Kilimanjaro Airports Development Company (KADCO) to develop a VIP passenger terminal in Kilimanjaro International Airport.

Following the agreement, Tanzania will benefit from Oman Airports’ experience in airport management and VIP services.

The MoU was signed by Abdul Nasser Abdullah al Yamani, vice-president, Business Development, Oman Airports, and Christine Mwakatobe of KADCO.

The MoU stipulates that Oman Airports will undertake the development of the General Terminal for VIPs and hangar facility at Kilimanjaro International Airport, development of a five-star hotel for passengers and a business complex/shopping mall in the airport.

The MoU has scope for development of other facilities that may be agreed upon mutually between the parties.

‘This partnership will serve in developing the facilities referred to in the text of the MoU to ensure the provision of high-standard services as part of efforts to raise revenues for both the Tanzanian government that owns the airport and Oman Airports,’ a press release said

Chanzo: The Citizen
CCM=chama cha majambazi
 
Kama mtabaki kuwaza mawazo mgando hivyo Basi mtatuweka miaka 100 kwa umasikini huu huu

Hata wao walisaini mikataba ya uhakika kwa mafuta yao tena sio wao tu ni waarabu wote wenye mafuta walijielewa pindi walipoijiwa na wazungu
Leo wanakula matunda ya mikataba iliyokuwa na masilaha na wananchi wao

Sisi unamwachia mtu biashara siku ya kwanza anaiba
Kama tutakuwa wakweli Sisi ni waoga ama ni udhalili wa kuwanyenyekea watu wa nje badala ya kuwa serious na maslahi yetu

Tunakubali kila kitu bila kuuliza why ?
Hivi unajengewa kitu au unapewa kitu hujiulizi kuna nini mbeleni

Tuchukulie maisha ya kawaida tu jirani kila leo anakuletea maini unacheka tu na kupokea kisa anakuzidi kipato kumbe anatafuna hapo

Maisha yote yanafanana iwe individuals au nchi kama nchi

Kama wanataka kitu wasaini kwa maslahi yetu Hakuna cha miaka 100
Hata wao walisaini mafuta na mzungu miaka 50 tu Ndio maana leo 100% ni yao baada ya mkataba kuisha juzi juzi tu

Wake up acheni kujioendekeza wakati nyie utajiri mnao ila wanyonge sana
Hata sisi tulisaini mikataba na IPTL , Acasia na Richmond ukumbuke?
 
Oman kupitia Shirika lake la Viwanja vya ndege vya Oman Jumatatu Juni 13 walisaini mkataba wa makubaliano (MoU) na Kampuni ya Maendeleo ya Viwanja vya Ndege ya Kilimanjaro (KADCO) ili kuendeleza jengo la abiria la VIP katika Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro.

Makubaliano hayo yalitiwa saini na Abdul Nasser Abdullah al Yamani, makamu wa rais, Maendeleo ya Biashara, Viwanja vya Ndege vya Oman, na Christine Mwakatobe wa KADCO.
View attachment 2263284
Makubaliano hayo yanaeleza kuwa Shirika la Viwanja vya Ndege vya Oman litafanya uendelezaji wa Jengo la Watu Mashuhuri (VIP) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro, Ujenzi wa hoteli ya nyota tano kwa ajili ya abiria na jengo la biashara/maduka makubwa katika uwanja huo.

MY TAKE;

Wanyama wetu watapona? Madini yetu ya Tanzanite je?

=====

Muscat. Oman Airports has on Monday June 13 signed a memorandum of understanding (MoU) with Kilimanjaro Airports Development Company (KADCO) to develop a VIP passenger terminal in Kilimanjaro International Airport.

Following the agreement, Tanzania will benefit from Oman Airports’ experience in airport management and VIP services.

The MoU was signed by Abdul Nasser Abdullah al Yamani, vice-president, Business Development, Oman Airports, and Christine Mwakatobe of KADCO.

The MoU stipulates that Oman Airports will undertake the development of the General Terminal for VIPs and hangar facility at Kilimanjaro International Airport, development of a five-star hotel for passengers and a business complex/shopping mall in the airport.

The MoU has scope for development of other facilities that may be agreed upon mutually between the parties.

‘This partnership will serve in developing the facilities referred to in the text of the MoU to ensure the provision of high-standard services as part of efforts to raise revenues for both the Tanzanian government that owns the airport and Oman Airports,’ a press release said

Chanzo: The Citizen

kutujengea VIP na maduka kwenye Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro hata mbunge wa jimbo la Hai anaweza kugharamia ujenzi huo. Why oman? Je ni gharama kiasi gani ambazo watanzania watashindwa?​

 
Ukumbuke samia ni mwarabu , JPM ni mwafrika na wanyama wanapelekwa Uarabuni. Nani wa kupeleka wanyama uarabuni hapi?
Nduu acha kuendeshwa na hisia..uarabu wa Samia uko wapi? wanyama gani waliopelekwa uarabuni na serikali imepiga marufuku usafirishaji wa wanyama.....tupunguze hisia!
 
Nduu acha kuendeshwa na hisia..uarabu wa Samia uko wapi? wanyama gani waliopelekwa uarabuni na serikali imepiga marufuku usafirishaji wa wanyama.....tupunguze hisia!
Mkataba wa huo wa ujenzi uwekwe hadharani kwa wabunge wa ccm . Utakuta ni Tsh 10 bilion sawa na dhamani ya jiwe moja la Tanzanite la kilo 5
 
Oman kupitia Shirika lake la Viwanja vya ndege vya Oman Jumatatu Juni 13 walisaini mkataba wa makubaliano (MoU) na Kampuni ya Maendeleo ya Viwanja vya Ndege ya Kilimanjaro (KADCO) ili kuendeleza jengo la abiria la VIP katika Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro.

Makubaliano hayo yalitiwa saini na Abdul Nasser Abdullah al Yamani, makamu wa rais, Maendeleo ya Biashara, Viwanja vya Ndege vya Oman, na Christine Mwakatobe wa KADCO.
View attachment 2263284
Makubaliano hayo yanaeleza kuwa Shirika la Viwanja vya Ndege vya Oman litafanya uendelezaji wa Jengo la Watu Mashuhuri (VIP) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro, Ujenzi wa hoteli ya nyota tano kwa ajili ya abiria na jengo la biashara/maduka makubwa katika uwanja huo.

MY TAKE;

Wanyama wetu watapona? Madini yetu ya Tanzanite je?

=====

Muscat. Oman Airports has on Monday June 13 signed a memorandum of understanding (MoU) with Kilimanjaro Airports Development Company (KADCO) to develop a VIP passenger terminal in Kilimanjaro International Airport.

Following the agreement, Tanzania will benefit from Oman Airports’ experience in airport management and VIP services.

The MoU was signed by Abdul Nasser Abdullah al Yamani, vice-president, Business Development, Oman Airports, and Christine Mwakatobe of KADCO.

The MoU stipulates that Oman Airports will undertake the development of the General Terminal for VIPs and hangar facility at Kilimanjaro International Airport, development of a five-star hotel for passengers and a business complex/shopping mall in the airport.

The MoU has scope for development of other facilities that may be agreed upon mutually between the parties.

‘This partnership will serve in developing the facilities referred to in the text of the MoU to ensure the provision of high-standard services as part of efforts to raise revenues for both the Tanzanian government that owns the airport and Oman Airports,’ a press release said

Chanzo: The Citizen
dah hawa wanawake hawa....povu rukhsa
 
Nduu acha kuendeshwa na hisia..uarabu wa Samia uko wapi? wanyama gani waliopelekwa uarabuni na serikali imepiga marufuku usafirishaji wa wanyama.....tupunguze hisia!
hapo penye red bold....nimekudharau sana.
 
Mkataba wa huo wa ujenzi uwekwe hadharani kwa wabunge wa ccm . Utakuta ni Tsh 10 bilion sawa na dhamani ya jiwe moja la Tanzanite la kilo 5
Kwa hili ndugu Peno naungana nawe....mikataba mingi sana imekuwa siri, ila isiwekwe hadharani kwa wabunge wa CCM tu waweke hadharani kwa watanzania wote kujionea
 
hapo penye red bold....nimekudharau sana.
Asante kwa dharau...tuachane na hisia haya wewe thibitisha uarabu wa Samia...uko wapi huenda mimi ndio sioni na hilo wala sio tatizo, huenda ukifungua macho kwa uthibitisho wako nami nitaona!
 
Asante kwa dharau...tuachane na hisia haya wewe thibitisha uarabu wa Samia...uko wapi huenda mimi ndio sioni na hilo wala sio tatizo, huenda ukifungua macho kwa uthibitisho wako nami nitaona!
kwanza nithibitishie kuwa kikwete siyo mkwere. Ukiweza hilo ndipo nitakujibu.
 
Kwa hili ndugu Peno naungana nawe....mikataba mingi sana imekuwa siri, ila isiwekwe hadharani kwa wabunge wa CCM tu waweke hadharani kwa watanzania wote kujionea
Nimetaja Wabunge wa ccm mkuu kwa sababu Ndio waliteuliwa kwenda mjengoni .
Ukiwaambia neno wananchi watasema mikataba ni siri. Basi hiyo Siri waonyeshane wenyewe kwa wenyewe basi.
 
kwanza pinga kwamba kikwete siyo mkwere. Ukiweza hilo ndipo nitakujibu.
Hapana hili siwezi pinga kwa sababu kwa mujibu wa historia na CV yake Kikwete amezaliwa Msoga na Baba yake Mkwere na Mama yake Mwanaasha akitokea Bagamoyo!
 
Hapana hili siwezi pinga kwa sababu kwa mujibu wa historia na CV yake Kikwete amezaliwa Msoga na Baba yake Mkwere na Mama yake Mwanaasha akitokea Bagamoyo!
samia alipokutana na mjomba wake Oman, huyo mjomba wake ni mzaramo au kabila lako?.....mtu kama hujui, hutajua kuwa hujui
 

Attachments

  • 4504CD10-53D2-490E-82A5-D9748296B660.jpeg
    4504CD10-53D2-490E-82A5-D9748296B660.jpeg
    60.8 KB · Views: 5
Back
Top Bottom