Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Msemaji wa wanamgambo wa Houth amesema wapo Oman kwa mwaliko wa kuzungumza na upande mwengine wa kimataifa kwa ajili ya kuacha mashambulizi ya meli zinazopita mlango wa bahari wa Bab Mandeb.
Mohamed Abdel-Salam hakutaja huo upande wa pili katika mazungumzo hayo lakini akasisitiza kuwa msimamo wa kundi lake ni kuwa hakuna kusitisha mashambulizi hayo mpaka hapo Israel nayo itakapoacha uchokozi dhidi ya wapalestina na kuruhusu misaada ya mahitaji muhimu kuingia Gaza.
Akaendelea kusema kuwa msimamo wa kundi lao waliouweka wazi ni kuwa wanawaunga mkono wapalestina wa Gaza na hawawezi kufunga mikono kwa hilo.
Mohamed Abdel-Salam hakutaja huo upande wa pili katika mazungumzo hayo lakini akasisitiza kuwa msimamo wa kundi lake ni kuwa hakuna kusitisha mashambulizi hayo mpaka hapo Israel nayo itakapoacha uchokozi dhidi ya wapalestina na kuruhusu misaada ya mahitaji muhimu kuingia Gaza.
Akaendelea kusema kuwa msimamo wa kundi lao waliouweka wazi ni kuwa wanawaunga mkono wapalestina wa Gaza na hawawezi kufunga mikono kwa hilo.