Hapo kwa waarabu usitegemee kitu ndugu yangu. Mapema tu kwa.siku ya leo Marekani ilisema itatoa taarifa.
Na taarifa iliyotoka ni kwamba; Kwa mujibu wa maafisa wa Marekani, muungano wa kupambana na Yemen "Operation Prosperity Guardian" utakuwa sawa na Task Force 153.
Wajumbe wa Kikosi Kazi 153 ni
Marekani
Misri
Saudi Arabia
Umoja wa Falme za Kiarabu
Israeli
Ufaransa
Italia
Ujerumani
Uingereza
Uturuki
Jordan
Bahrain
Oman
Qatar
Houth imewajibu ipo tayari kupigana hiyo vita ya kihistoria.
Na Imethibitishwa sasa Umoja wa Falme za Kiarabu, Bahrain, Saudi Arabia na Jordan zinaisaidia Israel kukwepa kwa meli zake kuzunguka bara la Afrika kwa sababu ya Yemen katika Bahari Nyekundu.
Israel inaingiza bidhaa kupitia bandari za UAE na Bahrain