Omari Mwariko nani anamfahamu?

Hivi mzee mwezangu Kila mtu akileta stori za masahibu wake wa utotoni humu jamvini patatosha..
Nami nianze kuwaelezea kina John enzi twala kongoro la kitimoto huko peramiho!!
 
Ni dini gani huyo julius njau? Tunaandika historia za waislam wenzetu yakhe,hao wengine andikeni nyie
 
Mohamed Said mimi ni mkristo. Nakubaliana na wewe. Licha ya ya baraza la mawaziri. Utawala huu umejaa kila namna ya inda. Sioni zile nyaraka za kitume kutoka kwa maaskofu. Zamani nilikuwa sielewi lakini sasa nakubaliana na wewe.
 
Hivi mzee mwezangu Kila mtu akileta stori za masahibu wake wa utotoni humu jamvini patatosha..
Nami nianze kuwaelezea kina John enzi twala kongoro la kitimoto huko peramiho!!
Inside...
Unataka kuniambia Mzee Mwenzangu (MM)kuwa hukuwa unajua kuwa hukatazwi kuandika hayo hapa?

Hivi kumbe hayo maneno yote ukidhani nakosea?
Kwa nini hukuuliza kabla?

Unadhani mimi kwa fikra zako zangu ni stori tu?

Unataka kuniambia huyaoni mengi ya kuelimisha katika post zangu?

Kuna ubaya gani kueleza historia ya Peramiho na ulaji wa nguruwe?

Hakuna tatizo lolote wala usihofu kitu.
 
Mohamed Said,

..umewahi kuisikia hii story kwamba kifimbo cha Mwalimu Nyerere kilichongwa na Omar Mwariko?

..sikiliza mahojiano ya Omar Mwariko hapo ktk video.


 
hadi miaka ya 90 hivi nyumba yao ilikuwa na fensi ya majani na mti kama wa embe au parachichi mazingira kama kwa mganga vile...kuna kipindi vingoma vinapiwa usiku hadi kanisa la korongoni dar street tulikuwa tunasikia
 
Sheikh Mohamed Said: Mwariko ni Manyema?
 
Nasema kila siku anasimulia waislam tu!
Wakristo hapa ndipo mnapokosea, na sisi wapenzi wa kuyatafakari mambo kwa kina ndipo tunapoamini kwamba uimara na umadhibuti wannchi hii kutokuingia kwenye vuta ni kuvute ya kidini ni waislam.

Utitiri wa wakristo katika kila nyanja na sekta katika nchi hii kuanzia Serikalini hadi sekta binafsi, waislam wamenyamaza kimya.

Mohammed Said kama mwanahistoria Nguli kuleta historia hapa imekua ni Waislamu tu.?

Unaonaje nawe ukasoma historia na kuanza kuandika za wakristo tu kumrusha roho Mohammed Said?
 
Kwa masikitiko tunatangaza kifo Cha Mzee Omari Mwariko kilichotokea usiku wa Leo wa tarehe 21.
Taarifa za maziko nitawajulisha punde familia itakapotoa maamuzi sehemu husika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…