Omba omba Dodoma waja kivingine

Omba omba Dodoma waja kivingine

boseboi

Member
Joined
Jan 22, 2025
Posts
18
Reaction score
64
Kuna siku nilikua Dodoma mitaa ya safina pale karibu na temple ya Hindu mandal
Kuna wadada wawili walikua wameketi hapo nje ya Ile temple Kuna kama chemba iv
Mmoja kati Yao alikua ana mtoto mchanga kambeba lakini kamgeuzia mbele

Basi bwana wakaniita ,nikasogea pale wakaniambia wanaomba niwasaidie naul sijui wametoka singida sijui wanaoenda wapi, wameishiwa nauli mara mtoto hajala tangu asubuhi

Kiukweli wanatia huruma the way wanaongea

Nikaingia mfukon nikaangalia chenchi iliokua imebaki, nikawapa tukaachana

Ikapita siku tatu nikaja kukutana nao hospital ya makole, wale wale vile vile na mtoto wao

Wamenisahau kbsa kama waliwahi kunipiga mznga, wakaniita tena wakajieleza vile vile, nikawajibu ndg Zang Leo sina ela sikutaka mambo yawe mengi

Ila sijui dodoma Kuna namna gani ukiachana na hawa nimewah kukutana na vijana tofauti tofauti maeneo tofauti,

Unakuta kijana yupo smart kbsa kapendeza anakusimamisha, unadhani labda mgeni anataka akuulize sehem hapajui unamsikiliza kumbe anakupiga mzinga
 
Kuna siku nilikua Dodoma mitaa ya safina pale karibu na temple ya Hindu mandal
Kuna wadada wawili walikua wameketi hapo nje ya Ile temple Kuna kama chemba iv
Mmoja kati Yao alikua ana mtoto mchanga kambeba lakini kamgeuzia mbele

Basi bwana wakaniita ,nikasogea pale wakaniambia wanaomba niwasaidie naul sijui wametoka singida sijui wanaoenda wapi, wameishiwa nauli mara mtoto hajala tangu asubuhi

Kiukweli wanatia huruma the way wanaongea

Nikaingia mfukon nikaangalia chenchi iliokua imebaki, nikawapa tukaachana

Ikapita siku tatu nikaja kukutana nao hospital ya makole, wale wale vile vile na mtoto wao

Wamenisahau kbsa kama waliwahi kunipiga mznga, wakaniita tena wakajieleza vile vile, nikawajibu ndg Zang Leo sina ela sikutaka mambo yawe mengi

Ila sijui dodoma Kuna namna gani ukiachana na hawa nimewah kukutana na vijana tofauti tofauti maeneo tofauti,

Unakuta kijana yupo smart kbsa kapendeza anakusimamisha, unadhani labda mgeni anataka akuulize sehem hapajui unamsikiliza kumbe anakupiga mzinga
Toa ndugu,toa ndugu,ulicho nacho!
 
Nimepita Dodoma wiki iliyopita. Nilikuwa na stopover ya masaa 8 kabla ya kuendelea na safari, nikaona nimtafute mwenyeji anisaidie kufanya utalii wa ndani kwa masaa hayo nane.... Du! .... Kumbe Dodoma bado sana jamani... Ndio maana nanihii na ukoo wake wote hawakai huku hata wiki moja ikaisha. Ni majanga!!
 
Nimepita Dodoma wiki iliyopita. Nilikuwa na stopover ya masaa 8 kabla ya kuendelea na safari, nikaona nimtafute mwenyeji anisaidie kufanya utalii wa ndani kwa masaa haya nane.... Du! .... Kumbe Dodoma bado sana jamani... Ndio maana nanihii na ukoo wake wote hawakai huku hata wiki moja ikaisha. Ni majanga!!
Fafanua tukuelewe!
 
kuna omba omba wa mchongo kibao, siku hizi....kuwa makini.....
 
Nje ya mada.

Kuna aliyeelewa picha hii anisaidie kuifafanua.

1740383451336.jpg
 
Kuna siku nilikua Dodoma mitaa ya safina pale karibu na temple ya Hindu mandal
Kuna wadada wawili walikua wameketi hapo nje ya Ile temple Kuna kama chemba iv
Mmoja kati Yao alikua ana mtoto mchanga kambeba lakini kamgeuzia mbele

Basi bwana wakaniita ,nikasogea pale wakaniambia wanaomba niwasaidie naul sijui wametoka singida sijui wanaoenda wapi, wameishiwa nauli mara mtoto hajala tangu asubuhi

Kiukweli wanatia huruma the way wanaongea

Nikaingia mfukon nikaangalia chenchi iliokua imebaki, nikawapa tukaachana

Ikapita siku tatu nikaja kukutana nao hospital ya makole, wale wale vile vile na mtoto wao

Wamenisahau kbsa kama waliwahi kunipiga mznga, wakaniita tena wakajieleza vile vile, nikawajibu ndg Zang Leo sina ela sikutaka mambo yawe mengi

Ila sijui dodoma Kuna namna gani ukiachana na hawa nimewah kukutana na vijana tofauti tofauti maeneo tofauti,

Unakuta kijana yupo smart kbsa kapendeza anakusimamisha, unadhani labda mgeni anataka akuulize sehem hapajui unamsikiliza kumbe anakupiga mzinga
Sio Dodoma tu ni kila mahali, kuna enzi nipo Kibaha jamaa anakuja na form ya kuchangiwa na ya matibabu kila mara ana kidonda kibichi kichwani. Unajiuliza huyu mtu haponagi?

Mwingine GT yeye alisema amepigwa na maliasili kaumia sana anaomba asaidiwe hela akatibiwe tukampa na boda tukalipa aende hospital. Tulikuwa pub moja tunakunywa, tukasema tuhame kiwanja tukaenda sehemu nyingine. Kufika hapo tumekaa kidogo anakuja jamaa yule yule anatembelea magongo anadai alipata ajali anaomba asaidiwe hela anunue dawa na ajali anayotaja ni kweli ilitokea.
 
Nimepita Dodoma wiki iliyopita. Nilikuwa na stopover ya masaa 8 kabla ya kuendelea na safari, nikaona nimtafute mwenyeji anisaidie kufanya utalii wa ndani kwa masaa hayo nane.... Du! .... Kumbe Dodoma bado sana jamani... Ndio maana nanihii na ukoo wake wote hawakai huku hata wiki moja ikaisha. Ni majanga!!
Bado Sana Wanajitafuta Sana
 
Back
Top Bottom