Omba omba Dodoma waja kivingine

Omba omba Dodoma waja kivingine

Wagogo kama wagogo nilikuwa na mshkaji wangu mgogo daaa! anatoka mbezi mpka kariakoo kavaa bukta zile za mpira na singirendi,chini kavaa ndala, kapiga na miwani nyeusi zile za kuchomelea alafu anajiona mjanja kinyama.
 
hiyo style nishanikutaka nayo maeneo border kubwa hapa Tanzania mida ya saa moja moja jioni mara naitwa na wadada wawili warembo kabisa wenye asili ya kishombe shombe wamevaa madera na wamejifunika vichwa vyao wanaonekana kama mambo safi flani jinsi wanavyoonekana wapo na mtoto umri kwa kukadiria kama miaka nane tisa hivi ,mara nasikia wakiniita kaka samahani nikaitwa pembeni wakaniambia wakulikuja hapo border sasa waliokuja nao mmoja wa mme wa hao wadada simu yake haipatikani wamepotezana na hawana nauri ya kutoka hapo border kwenda Mmji A .Sasa wale wa dada kwa jinsi mionekano yao jinsi ilivyo huwezi wadhania kwamba ni omba omba ,mwanaume ni kazama mfukoni siku nyingine nikakutana na watu design kama hiyo mbinu ni hizo hizo ndio nikaja kusanuka na wanafuata wanaume tu kwa jinsi hao wdada wanavyoonekana wazuri kwa mionekano ya umbo na wako na mtoto mdogo mwanaume ambaye amekamilika na mfukoni kama unakitu lazima utasema uwasaidie kwa chochote kitu maana wanaonekana kweli kama wanauhitaji kumbe laa ! ni mbinu za upigaji tu.
 
Project ya kutengeneza omba omba imeanza tayari kwa kasi....

Viungo vyote vya mwili vinauma...

Nataka nielewe...

"sasa serikali inaamia dodoma - hata mabalozi!?"

"Wametaka wenyewe - mafukara kwa sababu ya CCM"

"Tanzania ni nchi Tajiri sana ina madini adimu sana duniani - Mzungu kuwa masikini G20"
 
Project ya kutengeneza omba omba imeanza tayari kwa kasi....

Viungo vyote vya mwili vinauma...

Nataka nielewe...

"sasa serikali inaamia dodoma - hata mabalozi!?"

"Wametaka wenyewe - mafukara kwa sababu ya CCM"

"Tanzania ni nchi Tajiri sana ina madini adimu sana duniani - Mzungu kuwa masikini G20"
 
Project ya kutengeneza omba omba imeanza tayari kwa kasi....

Viungo vyote vya mwili vinauma...

Nataka nielewe...

"sasa serikali inaamia dodoma - hata mabalozi!?"

"Wametaka wenyewe - mafukara kwa sababu ya CCM"

"Tanzania ni nchi Tajiri sana ina madini adimu sana duniani - Mzungu kuwa masikini G20"
b23f6eea888ab784020890c9cef7b353.jpg
 
Project ya kutengeneza omba omba imeanza tayari kwa kasi....

Viungo vyote vya mwili vinauma...

Nataka nielewe...

"sasa serikali inaamia dodoma - hata mabalozi!?"

"Wametaka wenyewe - mafukara kwa sababu ya CCM"

"Tanzania ni nchi Tajiri sana ina madini adimu sana duniani - Mzungu kuwa masikini G20"
c73aa7893bb8b46ac7aedb0e329ca263.jpg
 
Kuna siku nilikua Dodoma mitaa ya safina pale karibu na temple ya Hindu mandal
Kuna wadada wawili walikua wameketi hapo nje ya Ile temple Kuna kama chemba iv
Mmoja kati Yao alikua ana mtoto mchanga kambeba lakini kamgeuzia mbele

Basi bwana wakaniita ,nikasogea pale wakaniambia wanaomba niwasaidie naul sijui wametoka singida sijui wanaoenda wapi, wameishiwa nauli mara mtoto hajala tangu asubuhi

Kiukweli wanatia huruma the way wanaongea

Nikaingia mfukon nikaangalia chenchi iliokua imebaki, nikawapa tukaachana

Ikapita siku tatu nikaja kukutana nao hospital ya makole, wale wale vile vile na mtoto wao

Wamenisahau kbsa kama waliwahi kunipiga mznga, wakaniita tena wakajieleza vile vile, nikawajibu ndg Zang Leo sina ela sikutaka mambo yawe mengi

Ila sijui dodoma Kuna namna gani ukiachana na hawa nimewah kukutana na vijana tofauti tofauti maeneo tofauti,

Unakuta kijana yupo smart kbsa kapendeza anakusimamisha, unadhani labda mgeni anataka akuulize sehem hapajui unamsikiliza kumbe anakupiga mzinga
Wagogo ni wavivu sana hawapendagi kufanya kazi toka enzi na enzi
 
Kuna siku nilikua Dodoma mitaa ya safina pale karibu na temple ya Hindu mandal
Kuna wadada wawili walikua wameketi hapo nje ya Ile temple Kuna kama chemba iv
Mmoja kati Yao alikua ana mtoto mchanga kambeba lakini kamgeuzia mbele

Basi bwana wakaniita ,nikasogea pale wakaniambia wanaomba niwasaidie naul sijui wametoka singida sijui wanaoenda wapi, wameishiwa nauli mara mtoto hajala tangu asubuhi

Kiukweli wanatia huruma the way wanaongea

Nikaingia mfukon nikaangalia chenchi iliokua imebaki, nikawapa tukaachana

Ikapita siku tatu nikaja kukutana nao hospital ya makole, wale wale vile vile na mtoto wao

Wamenisahau kbsa kama waliwahi kunipiga mznga, wakaniita tena wakajieleza vile vile, nikawajibu ndg Zang Leo sina ela sikutaka mambo yawe mengi

Ila sijui dodoma Kuna namna gani ukiachana na hawa nimewah kukutana na vijana tofauti tofauti maeneo tofauti,

Unakuta kijana yupo smart kbsa kapendeza anakusimamisha, unadhani labda mgeni anataka akuulize sehem hapajui unamsikiliza kumbe anakupiga mzinga
Wote hawa wanaimba ule wimbo pendwa.
Mama mitano tena
 
na bwana anakuona mpaka rohoni mwako wimbo huu umejaa biti hatari..
Usifiche nyingine mfukoni,, kwani yeye atoae atakupa nyingine tooaaaa Sunday school hiyo ni lazima utoe mahela yote
 
Back
Top Bottom