Omba omba wa kutokea Tanzania washtakiwa kwa kukosa vibali vya aina yoyote

Omba omba wa kutokea Tanzania washtakiwa kwa kukosa vibali vya aina yoyote

Ndio taswira yenu, mlilemazwa na ujamaa hadi wote mpo kiomba omba zaidi hamtaki kujituma, nchi bado maskini kwenye LDC licha ya raslimali nyingi kuzidi kainchi kadogo kama Kenya ambako kenyewe zaidi ya nusu yake ni jangwa tupu, yaani nyie mivivu wa kutupwa aisei.

Acha excuse za kijinga. Kenya ni kanchi kadogo nani kakwambia?? Unataka uje na hizo lame excuses ili tusiwasute watu wanavyokufa njaa.
 
Acha excuse za kijinga. Kenya ni kanchi kadogo nani kakwambia?? Unataka uje na hizo lame excuses ili tusiwasute watu wanavyokufa njaa.

Ndio kitu kinaitwa geographical facts, kainchi kadogo na zaidi ya nusu yake jangwa lakini kameshinda liinchi likubwa lenye kila aina ya raslimali ikiwemo madini, rotuba nzuri...kwanza muungano wa mataifa, yote mkiunganishwa GDP yenu inatoshana na Nairobi pekee...fact.
 
Ndio taswira yenu, mlilemazwa na ujamaa hadi wote mpo kiomba omba zaidi hamtaki kujituma, nchi bado maskini kwenye LDC licha ya raslimali nyingi kuzidi kainchi kadogo kama Kenya ambako kenyewe zaidi ya nusu yake ni jangwa tupu, yaani nyie mivivu wa kutupwa aisei.
Weee shubamit rekebisha kauli.
Sio wote wavivu mbona mm napiga kazi na sio kila mtz ni mtz naturally wengine by birth ama registration mkuu.
Na wapo mbona watz wanaopiga kaz kibao tu?
Wasukuma,wanyamwezi,waha,wahaya,wabembe,
Hawa wanapiga kazi kinyama ile ile.
Hiyo mijitu sana sana ya Dodoma hiyo mivivu ndio yajazana kuwa ombaomba hadi mjini unakuta mtu eti yuko ana viungo vyote na mzima kiafya lakini anamburuta mtu ktk wheelchair wakipita wanaomba.
Hii si uzandiki!!??

Ktk suala la uvivu nakubali Tz wengi wavivu wanapenda short cut ndio maana hawafanikiwi licha ya rasilimali zote hizi.
Imagine hata walioajiriwa civil servants unakuta wanatoa huduma kivivu then wanataka kuongezewa mishahara ilhali uwajibikaji ni zero.
Kumbafu kabbisa hawa.
 
Kila nchi ina jukumu na wajibu wa kulinda mipaka yake.
Kweli, na kila nchi ina jukumu kwa raia wake, popote walipo. Au hakuna balozi wa Tz nchini Kenya? Kuna aibu zingine ndogo ndogo ambazo hazifai kufumbiwa macho.
 
Weee shubamit rekebisha kauli.
Sio wote wavivu mbona mm napiga kazi na sio kila mtz ni mtz naturally wengine by birth ama registration mkuu.
Na wapo mbona watz wanaopiga kaz kibao tu?
Wasukuma,wanyamwezi,waha,wahaya,wabembe,
Hawa wanapiga kazi kinyama ile ile.
Hiyo mijitu sana sana ya Dodoma hiyo mivivu ndio yajazana kuwa ombaomba hadi mjini unakuta mtu eti yuko ana viungo vyote na mzima kiafya lakini anamburuta mtu ktk wheelchair wakipita wanaomba.
Hii si uzandiki!!??

Ktk suala la uvivu nakubali Tz wengi wavivu wanapenda short cut ndio maana hawafanikiwi licha ya rasilimali zote hizi.
Imagine hata walioajiriwa civil servants unakuta wanatoa huduma kivivu then wanataka kuongezewa mishahara ilhali uwajibikaji ni zero.
Kumbafu kabbisa hawa.

Nimejikuta nacheka, ila kuna kaukweli hapo maana nimefanya kazi na Wahaya na kiukweli ni wachapa kazi kupita maelezo....
 
Kweli, na kila nchi ina jukumu kwa raia wake, popote walipo. Au hakuna balozi wa Tz nchini Kenya? Kuna aibu zingine ndogo ndogo ambazo hazifai kufumbiwa macho.

Policy yetu sisi ni kusaidia waTanzania popote walipoingia kwa kufuata sheria. Ukiingia kinyemela ni lwako. Na ndiyo maana kuna kipindi rais aliwaambia mabalozi wanaoziwakilisha nchi wawe makini na kujiingiza kaika matatizo ambayo hayihusu nchi. Alikuwa akiongelea lile wimbi la vijana waliogeuzwa punda wa kubeba madawa ya kulevya. Alisema mtu yeyote akikamatwa na madawa ya kulevya huko mliko, siyo kuanza kujiingiza kutetea ama kujaribu kumnasua. Muache apambane na hali yake, hiyo imesaidia sana kupunguza wimbi la punda wanaobeba mizigo haramu huko nchi za watu. Lakini kama mtu ana matizo ya msingi, aliingia nchi ya kigeni kihalali, huyo msaidieni.
Hao mliowakamata waache wapambane na hali yao.
 
Kama kenya ni nchi ndogo basi rwanda na burundi sijui tuziitaje, na jangwa hlo lililopo kenya hatulijui, kuna inchi ambazo zipo katikati ya jangwa na hawafi njaa, ila nyie hamna jangwa wala nn ni kaukame tu mnaleta uvivu.
Ndio kitu kinaitwa geographical facts, kainchi kadogo na zaidi ya nusu yake jangwa lakini kameshinda liinchi likubwa lenye kila aina ya raslimali ikiwemo madini, rotuba nzuri...kwanza muungano wa mataifa, yote mkiunganishwa GDP yenu inatoshana na Nairobi pekee...fact.
 
Ndio taswira yenu, mlilemazwa na ujamaa hadi wote mpo kiomba omba zaidi hamtaki kujituma, nchi bado maskini kwenye LDC licha ya raslimali nyingi kuzidi kainchi kadogo kama Kenya ambako kenyewe zaidi ya nusu yake ni jangwa tupu, yaani nyie mivivu wa kutupwa aisei.
Nioneshe udogo wa kenya hapo [emoji23][emoji23][emoji23]
(rwanda & burundi join the chat)
Screenshot_2019-10-02-13-02-40.jpeg
 
Ndio kitu kinaitwa geographical facts, kainchi kadogo na zaidi ya nusu yake jangwa lakini kameshinda liinchi likubwa lenye kila aina ya raslimali ikiwemo madini, rotuba nzuri...kwanza muungano wa mataifa, yote mkiunganishwa GDP yenu inatoshana na Nairobi pekee...fact.

Kwanza hamna neno la kiswahili, rotuba.
Umewahi kwenda Botswana, Namibia, Rwanda na hata Burundi? Utasema nchi hizi ni kubwa? Namibia hamna jangwa? Botswana je? Acha visababu vya kijinga, ongezeni uzalishaji ili watu wenu wasife njaa. Ni aibu kwa karne hii, tena kwa nchi inayojipambanua kuwa ni mido inkamu kantri kuwa na upungufu wa chakula.
 
Kwanza hamna neno la kiswahili, rotuba.
Umewahi kwenda Botswana, Namibia, Rwanda na hata Burundi? Utasema nchi hizi ni kubwa? Namibia hamna jangwa? Botswana je? Acha visababu vya kijinga, ongezeni uzalishaji ili watu wenu wasife njaa. Ni aibu kwa karne hii, tena kwa nchi inayojipambanua kuwa ni mido inkamu kantri kuwa na upungufu wa chakula.
Kuna nchi kama namibia ni jangwa tupu lakn hawalii njaa kama hawa wenye kiukame kama cha dodoma. Na istoshe kuna ziwa lipo kaskazini mwa kenya ambapo ndo wanalia kuna jangwa or hakuna maji kumbe ata kilimo cha umwagiliaji wameshindwa wamepitwa hadi na misri inayotumia ka mto naili wakat wao wana ziwa
 
Nioneshe udogo wa kenya hapo [emoji23][emoji23][emoji23]
(rwanda & burundi join the chat)View attachment 1221512

Hii hapa ramani ya Kenya, eneo lenye rotuba ni ndogo sana, kwengine huko jangwa tupu ndio maana nikasema kainchi kadogo lakini kanawatoa wote jasho, liinchi kama Tanzania muungano wa mataifa mawili halina matumaini ya kufikia haka kainchi ketu.

Drought-affected-districts-in-Kenya-Districts-in-brown-are-arid-while-green-are-semi.png
 
We jamaa mbna huna akili afu kubwa zima, kwan uchumi unakua kwa rutuba peke ake? Nyie c mmeshagoma kulima mnakufa njaa, eti kainchi kadgo, nenda angalia ramani uone nchi ndogo na nchi zenye majangwa hapo ndo utajua kuna watu wanamazingira magumu na bado hawafi njaa. Istoshe kama hyo ndo point bas nyie mna advantage kwetu mana sis tuna liinchi likubwa la kulirndeleza na nyie mna robo tu ya kuendeleza but you ar still poor, mlitakiwa muwe mbali mna kainch ni kadgo lakn bado mnakimbizana na ldc kimaendeleo [emoji23][emoji23][emoji23] sas kulikua na haja gani ya kutelekeza ardhi yenu na hamfanyi vzur kiuchumi? Hyo ardh ya rutuba mmewapa wazungu dah
Hii hapa ramani ya Kenya, eneo lenye rotuba ni ndogo sana, kwengine huko jangwa tupu ndio maana nikasema kainchi kadogo lakini kanawatoa wote jasho, liinchi kama Tanzania muungano wa mataifa mawili halina matumaini ya kufikia haka kainchi ketu.

Drought-affected-districts-in-Kenya-Districts-in-brown-are-arid-while-green-are-semi.png
 
We jamaa mbna huna akili afu kubwa zima, kwan uchumi unakua kwa rutuba peke ake? Nyie c mmeshagoma kulima mnakufa njaa, eti kainchi kadgo, nenda angalia ramani uone nchi ndogo na nchi zenye majangwa hapo ndo utajua kuna watu wanamazingira magumu na bado hawafi njaa. Istoshe kama hyo ndo point bas nyie mna advantage kwetu mana sis tuna liinchi likubwa la kulirndeleza na nyie mna robo tu ya kuendeleza but you ar still poor, mlitakiwa muwe mbali mna kainch ni kadgo lakn bado mnakimbizana na ldc kimaendeleo [emoji23][emoji23][emoji23] sas kulikua na haja gani ya kutelekeza ardhi yenu na hamfanyi vzur kiuchumi? Hyo ardh ya rutuba mmewapa wazungu dah

Rotuba ni muhimu sana kwenye nchi maana inapunguza gharama za kwenye ukulima wa umwagiliaji, na pia utegemezi wa kununua mahindi kutoka nje. Ukizingatia pamoja na Wakenya, huku tuna wakimbizi wengi kuzidi mataifa mengine yote, wote hawa wanatutegemea, ukiongeza na maelfu ya omba omba kutoka Tanzania.
 
Hii hapa ramani ya Kenya, eneo lenye rotuba ni ndogo sana, kwengine huko jangwa tupu ndio maana nikasema kainchi kadogo lakini kanawatoa wote jasho, liinchi kama Tanzania muungano wa mataifa mawili halina matumaini ya kufikia haka kainchi ketu.

Drought-affected-districts-in-Kenya-Districts-in-brown-are-arid-while-green-are-semi.png
ngoja kwanza nile nitakurudia
 
Boss, sio ndio hawa hawa ambao mahakama zinapeana amri kwamba warudishwe makwao? Baada ya wao kukamatwa na kufikishwa mahakamani. Shida ni kwamba wakirudishwa wengine wanakuja na wanazidi kuongezeka kila uchao. Itabidi hata na nyinyi pia mtafute suluhisho upande wa pili wa boda.
Tatizo ni hao wanaojifanya kuwahurumia eti ni matendo ya huruma! badala wapeleke sehemu sahihi wao wanawapa hao wavivu! so wanaona biashara yao inalipa...jioni kwenye vilabu vya pombe na kamari
 
Kama Kenya ni ndogo, sijui Uganda, Rwanda, Burundi, Malawi, Congo Brazaville, Gabon watasemaje?
Ukwel anaujua kuwa kenya is just as big as tz, hayo maswala mengine ni umama tu, sis tumeweza itransform dodoma kuwa chimbuko la zabibu na wine (dompo [emoji14][emoji14]) na singida kuwa chimbuko la alizeti na mafuta asilia ya kupikia, ni bidhaa zinazotumika hadi nje ya inchi hii lakn zinalimwa katika maeneo kame sana. Wakenya wangeweza kufanya hvyo atakama siyo eneo lote bali ata eneo dgo tu la ukame ili kuwasaidia raia wanaoishi maeneo hayo wapate kua na uelewa kuwa kuna mazao yanastaw sana katika mazingra hayo lakn wamefeli wanalia lia jangwa wakat namibia inalima vzur tu, misri wanalima vzur tu vilimo vya umwagiliaji na wanategemea vijimito tu while kenya wana maziwa na mito zaid yao na nchi zao ni majangwa mwanzo mwisho zaid ya kenya
 
Back
Top Bottom