Omba omba wa Tanzania wafurika Migori, Kenya hadi kero

Kenya ni nchi ya hovyo sana, ina maana hamna sheria?, mbona sisi huku wakenya majambazi na majizi tumeyadhibiti kwa kuwajaza katika magereza sasa hivi hawajaribu tena kuichezea Tanzania
Lol...Kenyans' benevolence makes their country a beggars' paradise. There is a cartel who smuggles these beggars for financial gains. Halafu watu humu wanatukana wakenya ovyoovyo
 
inaonekana kuna udhaifu mkubwa sana wa kiulinzi katika mipaka ya kenya. haiwezekani ombaomba wajazane kenya peker na sio rwanda, uganda, burundi, zambia na msumbiji(nchi ambazo tumepakana nazo mipaka)

wanaingiaje kenya?.... na msituambie hao ombaomba wana official travelling documents cos tunajua kuna taratibu zinazotakiwa kufuatwa ili mtu apate travelling document.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…