.
mbona watu wanawasemaga wanawake wa mbagala eti wanavaa suruali kwa sababu wanapenda kupita dirishani kumbe hata kimara?
Wanakula mavitimoto na mambuzi choma na mabia!!!Hujui siku hizi Kimara inapanuka sana watu wanahamia sana maeneo hayo na vitongoji vyake. Na wanawake wa kimara wana nguvu sana hupambani nae kwenye kugombania daladala jamaa angu kaniambia.
Bongo ni bongo tu, hakuna cha mbagala wala osterbay, we are talking the same language maadam wote wapo dar, foleni ileile, kudandia daladala, mafuriko kama kawaida, na mabomu ndio usisemeHujui siku hizi Kimara inapanuka sana watu wanahamia sana maeneo hayo na vitongoji vyake. Na wanawake wa kimara wana nguvu sana hupambani nae kwenye kugombania daladala jamaa angu kaniambia.