Omba usishikwe na tumbo la kuharisha ukiwa katikati mjini na hakuna vyoo karibu

Hadithi ya kweli;

Kuna mzee moja alibanwa na uharo akiwa safarini kule kijiji alikuwa anaenda mjini, kama kawaida wazee wa cal me j wanapenda kuvaa rain boot hata wakati wa kiangazi.

Nadhani aliona ni adha kumwita kondakta wa gari lile na kumwambia shida yake, alichokifanya akashusha uharo kwenye suruali.

Kwa vile ni majimaji yakatiririka hadi ndani ya rain boot zake, bhna wee mjini hapakutosha aliposhuka garini alikuwa akitembea unasikia, Chapii chapiii chapiii chapii.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hahahhaha hiyo ya kusafiri isikie tu kwa mwenzio

Nakumbuka nilikuwa nasafiri kutoka Dar kuelekea Dodoma. Tulipofika Kisasa tumbo likanivuruga. Yaani nilikuwa ninatoka jasho mwili mzima, bus likitikisika kidogo mimi taaani. Ile kufika bus stand pale Dom nikatoka nduki kuelekea kwenye vyoo vya pale stand. Kufika pale pa kutolea pesa wala sikutaka kukawia wala nini nikatupa bag la laptop kwa yule anayekusanya pesa nikazama chooni ile kuinama tu huo uharo ulikuwa unatoa mlio kama tarumbeta. Baada ya kumaliza nikaenda kutoa tsh 200 yao, yule mhudumu alikufa kwa kicheko. Mimi wala sikujali nikasepa zangu.
 
hahahhahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…