Omba usikutwe na bwana pepsipole sana [emoji23]
Hapa hapa sitaki kwa waziri mkuu wala kwa raishahhahah nitakusimulia kwa waziri mkuu
hahahhahah na mm sitakiHapa hapa sitaki kwa waziri mkuu wala kwa rais
Haya tu wewe haumwoni bonny atatiririka!hahahhahah na mm sitaki
hahahha mwache tu atiririke hii yangu ni kiboko aisee nipo kwenye kilimanjaro natoka arusha sitasahauHaya tu wewe haumwoni bonny atatiririka!
Popcorn pleasehahahha mwache tu atiririke hii yangu ni kiboko aisee nipo kwenye kilimanjaro natoka arusha sitasahau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hadithi ya kweli;
Kuna mzee moja alibanwa na uharo aliwa safarini kule kijiji alikuwa anaenda mjini, kama kawaida wazee wa cal me j wanapenda kuvaa rain boot hata wakati wa kiangazi.
Nadhani aliona ni adha kumwita kondakta wa gari lile na kumwambia shida yake, alichokifanya akashusha uharo kwenye suruali.
Kwa vile ni majimaji yakatiririka hadi ndani ya rain boot zake, bhna wee mjini hapakutosha aliposhuka garini alikuwa akitembea unasikia, Chapii chapiii chapiii chapii.
Eeeh kilimanjaro express tena mabus ya juzi litakuwa tukio la juzi juzi tuhahahha mwache tu atiririke hii yangu ni kiboko aisee nipo kwenye kilimanjaro natoka arusha sitasahau
hahahhah we kula tu popcorn zako hadithi imeishia hapoPopcorn please
hahahha mwache tu atiririke hii yangu ni kiboko aisee nipo kwenye kilimanjaro natoka arusha sitasahau
hahahhaha hiyo ya kusafiri isikie tu kwa mwenzio
hahahhaha Daby niacheEeeh kilimanjaro express tena mabus ya juzi litakuwa tukio la juzi juzi tu
Tirirka bwana...ujue nimeghairi hadi kula nataka kwqnza nikuskiehahahhaha Daby niache
hahahhahahNakumbuka nilikuwa nasafiri kutoka Dar kuelekea Dodoma. Tulipofika Kisasa tumbo likanivuruga. Yaani nilikuwa ninatoka jasho mwili mzima, bus likitikisika kidogo mimi taaani. Ile kufika bus stand pale Dom nikatoka nduki kuelekea kwenye vyoo vya pale stand. Kufika pale pa kutolea pesa wala sikutaka kukawia wala nini nikatupa bag la laptop kwa yule anayekusanya pesa nikazama chooni ile kuinama tu huo huharo ulikuwa unatoa mlio kama tarumbeta si mchezo. cha mchezo uharo ukushike ukiwa safarini
hahahhah BAK na ww piaEhe! Tiririka Shunie.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ha ha ha haya mambo hayana mwwnyewe kabisa ilnkuta na nyengne safarin aiseee niliingza gar nyumba moja hv nahs hata wenyewe hawakutegemea ugen wa jion
Ya safarin mie niliwahi banwa haja ndogo aiseee sitosahau!!hahahhaha hiyo ya kusafiri isikie tu kwa mwenzio
Shemeji wewe haujawahi kuharishaaa sijui kuhara[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Pole sana mkwe, watu na matumbo yenu.