Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Namtaarifu Komredi Yusufu Makamba, kuwa yule kiboko yake 'MATONYA' amefariki usiku wa kuamkia leo kijijini kwakwe Mpamantwa wilaya ya Bahi, mazishi yatafanyika leo saa 10 jioni kijijini hapo.
Habari ziwafikie, Mkuu wa Wilaya Betty Mkwasa, Familia ya Mzee Makamba popote walipo, wakazi wa Dar na Moro pamoja na ndugu jamaa na marafiki wote. Bila ya kusahau wale wa eneo la Darajani Mjini Morogoro Hebal Chidawal Mwandishi wa habari Dodoma
Jitihada za kupata habari zaidi zinaendelea
Sahihisho la sahihisho: Hakuna mtu alikwenda Mbinguni kabla ya Ukombozi. Milango ya Mbinguni ilifungwa wakati wazazi wetu wa kwanza walipoasi, na msamaha ulipatikana baada ya Sadaka ya Kalvari.
Akina Elijah walikwenda kuzimu, na sio Mbinguni, kusubiri Ukombozi.
RIP fellow ccm victim MATONYA
Sahihisho kidogo: Siyo kweli kwamba kila nafsi itaonja mauti!!! Enock na Elijah walichukuliwa kwenda mbinguni wakiwa hai hawakuonja mauti na siku Yesu mwana wa Mungu aliye hai atakaporudi wafuasi wake watakao kuwa hai siku hiyo hawatakufa bali watanyakuliwa mawinguni bila kuonja mauti. Believe in him who gives life, he came so that they may have life and have it more abundantly
Mungu amekupenda zaidi ya sisi tulivyokupenda, pumzika kwa amani kamanda
Ombamba maarufu kuliko wote Nchini Tanzania maarufu kwa jina la Matonya amefariki duniani usiku wa kuamkia jana kijijini kwake mpamantwa wilaya ya bahi mazishi yatafanyika leo jumamosi saa 1o jioni kijijini hapo
Sahihisho la sahihisho: Hakuna mtu alikwenda Mbinguni kabla ya Ukombozi. Milango ya Mbinguni ilifungwa wakati wazazi wetu wa kwanza walipoasi, na msamaha ulipatikana baada ya Sadaka ya Kalvari.
Akina Elijah walikwenda kuzimu, na sio Mbinguni, kusubiri Ukombozi.
Mungu aiweke roho yake mahali stahiki...
JK safari nyingine hiyo!