Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kwa wewe umeoa au kuolewa, hapa ujiombee na kuomba toba na rehema kwa ajili yako na nguo ulizovaa.
Hujaoa? Nikujulishe tu kwamba baadhi ya mavazi mnayovaa yana maagano ya vifo, kutengana, kutokuzaa. Kuna koo ambazo hazikai na mke au mume zaidi ya miezi 6. Vita vya ndoa vimejaa huko.
Leo nakushauri kama hujaoa au hujaolewa haijalishi umenunua wapi au umekodisha nguo za harusi wapi.
Ushauri mkuu kabisa, kama huko nyuma nilivyowashauri ombeni zawadi kabla ya kufungua. Siku hizi wanandoa wanapigiwa kule waliko.
Wakati huu wamekuja kwenye nguo mnazovaa.
Leo nashauri ombea yale magauni au suti unazoenda kuvaa, na kama una muda funga hata masaa kadhaa, kemea hizo roho kabla ya kuzivaa.
Sasa kumezuka ya kukodishana. Wale waliozivaa wengine hawajazaa mpaka leo ni sababu ya maagano.
Wengine wameshazivaa hizo nguo, hawako kwenye ndoa mpaka leo.
Wengine walivaa, baada ya miezi wakajifungua wakafa, wao watoto wakabaki.
Sikutishi, hii sio tu kwa hizi za kukodisha, hata za kununua dukani.
Kodisha, nunua, ziweke maombini, kemea roho zote nilizozitaja hapo juu.
Kila la heri.
Usiku mwema.
Hujaoa? Nikujulishe tu kwamba baadhi ya mavazi mnayovaa yana maagano ya vifo, kutengana, kutokuzaa. Kuna koo ambazo hazikai na mke au mume zaidi ya miezi 6. Vita vya ndoa vimejaa huko.
Leo nakushauri kama hujaoa au hujaolewa haijalishi umenunua wapi au umekodisha nguo za harusi wapi.
Ushauri mkuu kabisa, kama huko nyuma nilivyowashauri ombeni zawadi kabla ya kufungua. Siku hizi wanandoa wanapigiwa kule waliko.
Wakati huu wamekuja kwenye nguo mnazovaa.
Leo nashauri ombea yale magauni au suti unazoenda kuvaa, na kama una muda funga hata masaa kadhaa, kemea hizo roho kabla ya kuzivaa.
Sasa kumezuka ya kukodishana. Wale waliozivaa wengine hawajazaa mpaka leo ni sababu ya maagano.
Wengine wameshazivaa hizo nguo, hawako kwenye ndoa mpaka leo.
Wengine walivaa, baada ya miezi wakajifungua wakafa, wao watoto wakabaki.
Sikutishi, hii sio tu kwa hizi za kukodisha, hata za kununua dukani.
Kodisha, nunua, ziweke maombini, kemea roho zote nilizozitaja hapo juu.
Kila la heri.
Usiku mwema.