Mpap Ndabhit
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 331
- 416
Siyo kweli kwamba uwekezaji hauna faida au hasara Kwa mstakabali wa Taifa. Lakini hoja ya bandari imefunua mioyo ya wengi na kuonesha hatari iliyoko katika nchi yetu.
Tanzania hatutakuja kupigana vita ya wenyewe eti Kwa sababu ya kisiasa. Ccm Ina nguvu sana kuweza kutawala hata miaka hamsini ijayo!
Lakini tusipoangalia dini itakuwa ni chanzo kuvunjika Kwa amani katika nchi hii. Kila penye mjadala wa bandari angalia majina ya wanapinga na Yale wanaukubali.
Angalau wakristo hawana umoja katika hili lakini hao wengine wao ni kupinga tu! Wito wangu tuliombee Taifa umoja, amani na upendo utawale bila kujali misingi ya Imani na madhehebu.
Tanzania hatutakuja kupigana vita ya wenyewe eti Kwa sababu ya kisiasa. Ccm Ina nguvu sana kuweza kutawala hata miaka hamsini ijayo!
Lakini tusipoangalia dini itakuwa ni chanzo kuvunjika Kwa amani katika nchi hii. Kila penye mjadala wa bandari angalia majina ya wanapinga na Yale wanaukubali.
Angalau wakristo hawana umoja katika hili lakini hao wengine wao ni kupinga tu! Wito wangu tuliombee Taifa umoja, amani na upendo utawale bila kujali misingi ya Imani na madhehebu.