Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Wapo Tanzania nzimaWanaishi Mkoa gani hao ?
Na bidii ya kusaka mkwanjaWanyakyusa wanaume wengiwao si watu wa misimamo, ila wa kike wako poa ni watiifu afu wana mizigo ya kutosha.
Phd ya usnitch wanayo wajaluo.Wana degree ya usnitch kumkaribisha kwenye kazi na kukuharibia ili abaki yeye easy tu.Sema dada Zenu hawana hiyana wao ni shemegiii!!Shemegiii.
Hakuna mtu hapa duniani anayeweza kukudharau Kama hujamruhusu.
Kukuogopa wanaweza
Kukuchukia wanaweza Ila kukudharau mpaka umpe ruksa wewe binafsi.
Mfano Bujibuji unaendesha Benz Mimi Sina gari, Kama sijajuomba lift, nakomaa na mwendokasi, wewe ukinywa Hennessy nakomaa na konyagi, ukiagiza kitimoto roast naagiza makongoro ya kitimoto Ila sijakuomba, umekaa bar na mwanamke mwenye chura Mimi na kiflati screen changu inch 32. Siongei na wewe na sitaki maongezi na wewe. Utaanzaje kunidharau. Sana sana utakua unaumia roho ukiona baby wangu alivyokua na amani kwa kutopenda makuu.
I second U. I married them.Wana roho mbaya sana!
.
Wanataka kama ni kiongozi awe wa kabila lao tu hapo utaona wamerundikana na kupiga kilugha mwanzo mwisho.
Wana maneno ya chini chini, yani hasa wanawake ni wanafiki balaa huku wakijifanya ni waombaji sana!
Kuna jmaa walimkataz asiowe huko alipeleka mwanamke kabisa wa kinyaki wakamkataaI second U. I married them.
Hii wiki ya kwetu🤣🤣🤣🤣Leo ni zamu ya kina Saint Anne[emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣Wanyakyusa kama hakupendi, atakwambia machoni pako kwamba sikupendi nakuchukia.
Wanajiamini sana
Akiamua kukudharau, utajuta kuzaliwa
Naunga mkono huja yakoPhd ya usnitch wanayo wajaluo.
Nakumbuka mambo ya Dr. Mwakyembe alivyowapa makavu wajumbe nao wakamnyooshaWanyakyusa kama hakupendi, atakwambia machoni pako kwamba sikupendi nakuchukia.
Wanajiamini sana
Akiamua kukudharau, utajuta kuzaliwa