Ombi kwa makampuni ya Simu, Tigo, Vodacom, Airtell, Halotel etc: Kama mnaweza tutengenezee VIBUBU vya kwenye simu/Mtandao

Ombi kwa makampuni ya Simu, Tigo, Vodacom, Airtell, Halotel etc: Kama mnaweza tutengenezee VIBUBU vya kwenye simu/Mtandao

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
My point is this:
Tumezoea kuweka hela kwenye VIBUBU vya mbao ambavyo ikifika muda uliojipangia unakibomoa.
SASA, ni imani yangu kuwa you can design a programme ambayo mtu anaweza akawa anaweka pesa zake (kama tunavyoweka kwenye M-pesa, Tigo pesa etc) na kuzitoa muda aliopanga ambapo kabla ya juda huo hataweza kuzi access mpaka muda utimie.
Mfano: Mnaweza kudesign program/operation ambayo mtu anaweka tarehe ya kuanza kuweka saving yake aliyoikusudia kwenye KABUBU ya simu/mtandao na kuwa hatazitoa mpaka tarehe fulani aliyojipangia. Hii itasaidia kuondokana na "technology" ya zamani ya kabubu za mbao ambazo zimepitwa na wakati.
 
My point is this:
Tumezoea kuweka hela kwenye VIBUBU vya mbao ambavyo ikifika muda uliojipangia unakibomoa.
SASA, ni imani yangu kuwa you can design a programme ambayo mtu anaweza akawa anaweka pesa zake (kama tunavyoweka kwenye M-pesa, Tigo pesa etc) na kuzitoa muda aliopanga ambapo kabla ya juda huo hataweza kuzi access mpaka muda utimie.
Mfano: Mnaweza kudesign program/operation ambayo mtu anaweka tarehe ya kuanza kuweka saving yake aliyoikusudia kwenye KABUBU ya simu/mtandao na kuwa hatazitoa mpaka tarehe fulani aliyojipangia. Hii itasaidia kuondokana na "technology" ya zamani ya kabubu za mbao ambazo zimepitwa na wakati.
Mimi hata kibubu cha chuma huwa navunja nikifulia!!
 
"Nidhamu ya pesa inaanza na wewe mwenyewe..."

Tengeneza tabia ya kuheshimu akiba yako adi pale utakapo fkia malengo yako..

.... just imagine unaweka akiba tigo inapigwa pin kwa muda fulani,then unapata mchongo wa sku moja kuzungusha laki 5 irudishe laki 5 na nusu,na kwenye akiba yko kuna laki tano na kitu....apo ndo utaona hasara za kuwa na kibubu uko.
 
Mbona M-PAWA ina zaidi ya miaka 7! tigo nao wana tigo kibubu.

enzi hizo nilitengenezaga kibubu cha chuma nilipataga shida hiyo, nilivyoenda kwa mhunzi akasema labda tuchome moto ili kilainike.
wadau kumbe hizi nyekundu haziungui kirahisi kama makaratasi.
 
My point is this:
Tumezoea kuweka hela kwenye VIBUBU vya mbao ambavyo ikifika muda uliojipangia unakibomoa.
SASA, ni imani yangu kuwa you can design a programme ambayo mtu anaweza akawa anaweka pesa zake (kama tunavyoweka kwenye M-pesa, Tigo pesa etc) na kuzitoa muda aliopanga ambapo kabla ya juda huo hataweza kuzi access mpaka muda utimie.
Mfano: Mnaweza kudesign program/operation ambayo mtu anaweka tarehe ya kuanza kuweka saving yake aliyoikusudia kwenye KABUBU ya simu/mtandao na kuwa hatazitoa mpaka tarehe fulani aliyojipangia. Hii itasaidia kuondokana na "technology" ya zamani ya kabubu za mbao ambazo zimepitwa na wakati.
Kampuni zinafaidi sana watalichukua hilo fasta
 
Mbona M-PAWA ina zaidi ya miaka 7! tigo nao wana tigo kibubu.

enzi hizo nilitengenezaga kibubu cha chuma nilipataga shida hiyo, nilivyoenda kwa mhunzi akasema labda tuchome moto ili kilainike.
wadau kumbe hizi nyekundu haziungui kirahisi kama makaratasi.
Next time usihangaike na Vyuma, tumia hata Makopo ya Dawa ya Mbu nayo mi mazuri sana kufanyia Kibubu, Dawa imiisha unalitoboa pembeni unakuwa unaweka chenji chenji,
 
Kumbukeni Mtalipia nauli ya kutoa pesa kwenye Kibubu.
 
Mbona M-PAWA ina zaidi ya miaka 7! tigo nao wana tigo kibubu.

enzi hizo nilitengenezaga kibubu cha chuma nilipataga shida hiyo, nilivyoenda kwa mhunzi akasema labda tuchome moto ili kilainike.
wadau kumbe hizi nyekundu haziungui kirahisi kama makaratasi.
M pawa ina access ya kutoa
 
Ngoja nifatilie hyo ya tigo nione ikoje ila ni idea nzuri
 
Ahsante Vodacom tumelisikia ombi lako ila kwasasa hatuna huduma ya vibubu ila tuna huduma ya viziwi karibu tukuhudumie
 
Back
Top Bottom