Ombi kwa makampuni ya Simu, Tigo, Vodacom, Airtell, Halotel etc: Kama mnaweza tutengenezee VIBUBU vya kwenye simu/Mtandao

Ombi kwa makampuni ya Simu, Tigo, Vodacom, Airtell, Halotel etc: Kama mnaweza tutengenezee VIBUBU vya kwenye simu/Mtandao

huko wekeni wenyewe tozo zimekuwa kubwa sana,nikijenga nyumba yangu nitatengeza sehemu ya siri ya kuhifadhi hela
 
My point is this:
Tumezoea kuweka hela kwenye VIBUBU vya mbao ambavyo ikifika muda uliojipangia unakibomoa.
SASA, ni imani yangu kuwa you can design a programme ambayo mtu anaweza akawa anaweka pesa zake (kama tunavyoweka kwenye M-pesa, Tigo pesa etc) na kuzitoa muda aliopanga ambapo kabla ya juda huo hataweza kuzi access mpaka muda utimie.
Mfano: Mnaweza kudesign program/operation ambayo mtu anaweka tarehe ya kuanza kuweka saving yake aliyoikusudia kwenye KABUBU ya simu/mtandao na kuwa hatazitoa mpaka tarehe fulani aliyojipangia. Hii itasaidia kuondokana na "technology" ya zamani ya kabubu za mbao ambazo zimepitwa na wakati.
Unatafuta ugomvi na mafundi seremala
 
Kibubu Cha chuma.
Mwenzie msumeno wa nondo.
Huko kwenye cutting disk mbali sana
Mbona M-PAWA ina zaidi ya miaka 7! tigo nao wana tigo kibubu.

enzi hizo nilitengenezaga kibubu cha chuma nilipataga shida hiyo, nilivyoenda kwa mhunzi akasema labda tuchome moto ili kilainike.
wadau kumbe hizi nyekundu haziungui kirahisi kama makaratasi.
 
Hizo hela unazoweka kwenye bubu unakuwa hauna taarifa zake ni kiasi gani kilichopo kwenye hilo bubu???
 
My point is this:
Tumezoea kuweka hela kwenye VIBUBU vya mbao ambavyo ikifika muda uliojipangia unakibomoa.
SASA, ni imani yangu kuwa you can design a programme ambayo mtu anaweza akawa anaweka pesa zake (kama tunavyoweka kwenye M-pesa, Tigo pesa etc) na kuzitoa muda aliopanga ambapo kabla ya juda huo hataweza kuzi access mpaka muda utimie.
Mfano: Mnaweza kudesign program/operation ambayo mtu anaweka tarehe ya kuanza kuweka saving yake aliyoikusudia kwenye KABUBU ya simu/mtandao na kuwa hatazitoa mpaka tarehe fulani aliyojipangia. Hii itasaidia kuondokana na "technology" ya zamani ya kabubu za mbao ambazo zimepitwa na wakati.
Halotel walikuwa nacho toka zamani unaweka target unaanza hifadhi ukitaka kutoa ela kabla ya muda ulioweka na ikiwa haijatimia mpaka uende ofsin kwao kama target inafka unaweza toa tu na haikuwa na makato ilikuwa kabla ya tozo
 
Next time usihangaike na Vyuma, tumia hata Makopo ya Dawa ya Mbu nayo mi mazuri sana kufanyia Kibubu, Dawa imiisha unalitoboa pembeni unakuwa unaweka chenji chenji,
Yani mimi siwez kuweka pesa ikatimia wakati nna access ya kuitoa. Nikililiwa shida tu na ndugu naenda kuichomoa 😀 kimachoniweza ni fixed acc tu
 
Hapa watu wanaongelea vibubu ambao ni accesible, yani you can withdraw your saving anytime, Sisi hatutaki cha ivo tunataka ambacho you can only deposit, Until stated time reach
 
Back
Top Bottom