Ombi kwa mitandao ya simu kuhusu suala la intaneti iliyokatwa

Ombi kwa mitandao ya simu kuhusu suala la intaneti iliyokatwa

rr4

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
3,797
Reaction score
5,510
Wakuu habari.

Natoa ombi maalum kwa makampuni ya simu yote nchini ambayo yalikata au yalisitisha upatikanaji wa internet kwa baadhi ya social media Kama Whatsapp , Instagram, Twitter , Facebook and so on.

Siku ili mliyotindiganya mambo watu tulikuwa tumejiunga na mabundle ya internet, wengine social bundles n.k....mimi nilikuwa nimejiunga la siku saba., Hela ililiwa na internet hakuna.

Ninawaomba mtufidie angalau 48hrs za internet free au kama mtakavoona inafaa na itawaridhisha wateja wenu.

Tafadhali sana Vodacom, Halotel, Airtel , Togo n.k.

Tufikirieni
 
Watanzania hamjielewi, haya makampuni ya simu yote ni ya mabeberu, haya makampuni hayawezi kutufidia kwasababu wakati CCM wanafanya mchezo mchafu makampuni haya yalikuwa ni wasaidizi wa CCM, Yana baraka zote za CCM na nyie watumiaji wa mwisho hamwezi kwenda kulalamika popote. Full stop
 
Wakuu habari.

Natoa ombi maalum kwa makampuni ya simu yote nchini ambayo yalikata au yalisitisha upatikanaji wa internet kwa baadhi ya social media Kama Whatsapp , Instagram, Twitter , Facebook and so on.

Siku ili mliyotindiganya mambo watu tulikuwa tumejiunga na mabundle ya internet, wengine social bundles n.k....mimi nilikuwa nimejiunga la siku saba., Hela ililiwa na internet hakuna.

Ninawaomba mtufidie angalau 48hrs za internet free au kama mtakavoona inafaa na itawaridhisha wateja wenu.

Tafadhali sana Vodacom, Halotel, Airtel , Togo n.k.

Tufikirieni
Acha kulialia na kuwabembeleza wezi wakufidie, we nenda mahakamani bwashee utalipwa mamilion na utatangazwa kuwa milionea mpya Tanzania 😀😀
 
Acha kulialia na kuwabembeleza wezi wakufidie, we nenda mahakamani bwashee utalipwa mamilion na utatangazwa kuwa milionea mpya Tanzania 😀😀
Unataka nijikaange kwa mafuta yangu mwenyewe
 
Tuko wengi, yaani wacha tu niachane na huu uzi nika comment kwingine
😤😤
 
Acha kulialia na kuwabembeleza wezi wakufidie, we nenda mahakamani bwashee utalipwa mamilion na utatangazwa kuwa milionea mpya Tanzania 😀😀
Ni mahakama gani unazozungumzia? Hivi kweli kesi ya ngedere kula miwa yako unampelekea nyani ukitegemea kupata haki yako?
 
Back
Top Bottom