Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa mimi napata jf free basics ...... Huduma kama Whatsapp natuma picha kwa shida mno.....
Cha kushangaza XVIDEOS ..... Inapatikana bila scratch, sasa nashindwa kuelewa vipaumbele vyetu.
Ndo ukweli japo mchungu😡🤔
[emoji16][emoji16][emoji16] tumia hiyohiyo inayopatikana mkuuHapa mimi napata jf free basics ...... Huduma kama Whatsapp natuma picha kwa shida mno.....
Cha kushangaza XVIDEOS ..... Inapatikana bila scratch, sasa nashindwa kuelewa vipaumbele vyetu.
Please mkuu...... First born Sasa Ni 15yrs na ni F3 na ni female..... By the way nimejaliwa all females .... Sasa naonaga hata kinyaa kutazama hayo mambo thinking of my daughters[emoji16][emoji16][emoji16] tumia hiyohiyo inayopatikana mkuu
Sasa mkuu umejuaje inafanya kazi kama hutumii?Please mkuu...... First born Sasa Ni 15yrs na ni F3 na ni female..... By the way nimejaliwa all females .... Sasa naonaga hata kinyaa kutazama hayo mambo thinking of my daughters
Hell noTCRA inachukua amri kutoka kwa Nani? Huyo mtoa amri ndio unatakiwa umuombe. Kuna tetesi Ni msikivu, mpenda watu hasa wanyonge, mtu wa dini sana zaidi ya sala tano, Hana makuu na sio mwizi.
'Akikutagi nijibu' alaa sorry, akikujibu nitagiSasa mkuu umejuaje inafanya kazi kama hutumii?
Haya makali yanawapata wafuasi wa CHAUMA tu au hata wa DP?Trh 02 waliambiwe waandamane kudai haki zao kwa njia ya amani , wakajidai kuuchuna , sasa acha tuendelee kuoneshana makali
Uangalie usiangalie watatiwa tu,maana hio ni haki yao ya msingi.Please mkuu...... First born Sasa Ni 15yrs na ni F3 na ni female..... By the way nimejaliwa all females .... Sasa naonaga hata kinyaa kutazama hayo mambo thinking of my daughters
Ukienda kununua line kuna kifuko kina maandishi madogo Sana huwa hamuyasomiNinawaomba mtufidie angalau 48hrs za internet free au kama mtakavoona inafaa na itawaridhisha wateja wenu.