Mfidiwe kwa maslahi ya Nani?Kabisa yani watufidie japo amri ilitoka juu .
Ya watumiaji.Mfidiwe kwa maslahi ya Nani?
Hawana pa kwenda kulalamika kwasababu mihimili yote imewekwa mfukoni na mtu mmojaView attachment 1622170
TCRA inachukua amri kutoka kwa Nani? Huyo mtoa amri ndio unatakiwa umuombe. Kuna tetesi Ni msikivu, mpenda watu hasa wanyonge, mtu wa dini sana zaidi ya sala tano, Hana makuu na sio mwizi.kwani Mtandao wanablock Mitandao???
Walio block ni TCRA
Hao wa mitandao nao ni wahanga
π kabisa.Kila nikifikiria hela waliopiga , si haki wale zote peke yao
Hapa mimi napata jf free basics ...... Huduma kama Whatsapp natuma picha kwa shida mno.....Mie mpaka dakika hii bila Vpn mtandao unagoma kabisa!
Acha kulialia na kuwabembeleza wezi wakufidie, we nenda mahakamani bwashee utalipwa mamilion na utatangazwa kuwa milionea mpya Tanzania ππWakuu habari.
Natoa ombi maalum kwa makampuni ya simu yote nchini ambayo yalikata au yalisitisha upatikanaji wa internet kwa baadhi ya social media Kama Whatsapp , Instagram, Twitter , Facebook and so on.
Siku ili mliyotindiganya mambo watu tulikuwa tumejiunga na mabundle ya internet, wengine social bundles n.k....mimi nilikuwa nimejiunga la siku saba., Hela ililiwa na internet hakuna.
Ninawaomba mtufidie angalau 48hrs za internet free au kama mtakavoona inafaa na itawaridhisha wateja wenu.
Tafadhali sana Vodacom, Halotel, Airtel , Togo n.k.
Tufikirieni
Ni mahakama gani unazozungumzia? Hivi kweli kesi ya ngedere kula miwa yako unampelekea nyani ukitegemea kupata haki yako?Acha kulialia na kuwabembeleza wezi wakufidie, we nenda mahakamani bwashee utalipwa mamilion na utatangazwa kuwa milionea mpya Tanzania ππ