Pythagoras
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,026
- 5,299
Najua kuna baadhi ya mitandao ya simu wahusika wake wapo humu.
Ombi langu, kama mnaweza ondoa ile huduma ambayo kama mtu anaongea na simu nyingine halafu akapigiwa, kusiwepo na ile "the number you're calling is busy..... namba unayopiga inatumika kwa sasa....."
Huu ujumbe umekaa kisnitch sana, umeharibu michongo mingi sana. Hadi nimeleta huu uzi mjue mmeniharibia sana ☹☹☹
Ombi langu, kama mnaweza ondoa ile huduma ambayo kama mtu anaongea na simu nyingine halafu akapigiwa, kusiwepo na ile "the number you're calling is busy..... namba unayopiga inatumika kwa sasa....."
Huu ujumbe umekaa kisnitch sana, umeharibu michongo mingi sana. Hadi nimeleta huu uzi mjue mmeniharibia sana ☹☹☹