Ombi kwa Ney wa Mitego: Remix ya WAPO wawepo na hawa

Ombi kwa Ney wa Mitego: Remix ya WAPO wawepo na hawa

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
33,894
Reaction score
76,810
Nimeskia true boy yupo kwenye mchakato wa kutoa remix ya WAPO. Na kasema kwenye remix tutegemee wasanii sio chini ya watatu. Wasanii hao ni nani na nani?

Mimi ninakaombi tu kwa ney fanya wawepo hawa jamaa track itanoga saana. [emoji125] [emoji125] [emoji125]
1. ROMA
2. BAGHDAD
3. NIKK MBISHI.
4. KALA JEREMIAH
 
Umemsikia Nye kasema unaweza kujikuta central
Haha yeah kwenye track kasisitiza kabisaa.

Japo Bashite itakuwa imemuuma balaa.
Eyoo mheshimiwa hivi unamjua BASHITE?
Naskia hili ni jipu jipya toka CALL ME J??????[emoji16][emoji16]
 
Haha yeah kwenye track kasisitiza kabisaa.

Japo Bashite itakuwa imemuuma balaa.
Eyoo mheshimiwa hivi unamjua BASHITE?
Naskia hili ni jipu jipya toka CALL ME J??????[emoji16][emoji16]
Ha ha ha ha et unajiona ndugu yake na yethuu
 
Back
Top Bottom