Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataongea saana... hapo raha wachane mafumbo mafumbo yanachelewesha taarifa mkuu
Ha ha ha ha ila kwel safar hii tunaisoma sanaaHahaha Oya wanangu eeeh round hii kichaa kapewa RUNGU
Haha yeah kwenye track kasisitiza kabisaa.
Japo Bashite itakuwa imemuuma balaa.
Eyoo mheshimiwa hivi unamjua BASHITE?
Naskia hili ni jipu jipya toka CALL ME J??????[emoji16][emoji16]
Huyu alisha fika kwa mjomba bahati mbaya kamkuta sizonje sasa hajui amwambie nini...Mpoto je
Ha ha ha ha et unajiona ndugu yake na yethuu
Ha ha ha ha et waliofoji vyetii[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] jf ni burudan sana pamoja na watu wake.loh!!!wapoooo
Ha ha ha ha et waliofoji vyetii
Ha ha ha ha et waliofoji vyetii
Weeee usnpeleke centraalWAPO
Ha ha ha ha wapooooNa waliopoteza marinda..
Weeee usnpeleke centraal
Ha ha ha ha wapoooo
Mademu wanasagana
Mbona kama Jungu vile[emoji12][emoji12]wapooo
Eti kuna vidume vinalelewa...
Mbona kama Jungu vile
Ha ha ha ha ha haHaendi mtu hapa aise
Unapiga madongo ya wanaume tu daah mpka yananiumaNi ney huyo ooo sio mimi kiongozi.
Unapiga madongo ya wanaume tu daah mpka yananiuma
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ney mtu mbaya sana.