Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Una kamzigo wewe? Au una zigoHahahaha ikipata kibali.
NB. :Kwaniaba ya bodi ya wakurugenzi wa NHC tunapenda kumkumbusha Mh Mbowe a.k. a mzee wa Dubai kale kamzigo ketu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una kamzigo wewe? Au una zigoHahahaha ikipata kibali.
NB. :Kwaniaba ya bodi ya wakurugenzi wa NHC tunapenda kumkumbusha Mh Mbowe a.k. a mzee wa Dubai kale kamzigo ketu.
Sijui kitu gani anachojivuniaSijakuuliza wewe, kiherehere cha nini?
Hata mi' sijui aisee.Sijui kitu gani anachojivunia
Tulipongeze jeshi letu la polisi.
Kumbe jeshi hili liliundwa 1919? Ndio maana linatenda kikoloni namna hii? Angalia tofauti ya utendaji na JWTZ iliyoanza 1964 utauona waziwazi.Tulipongeze jeshi letu la polisi.
P
Tulipongeze jeshi letu la polisi.
P
Jeshi la Polisi ni wenzetu.Wanabodi,
Kazi Kuu ya Jeshi la Polisi ni kulinda raia na mali zao, katika kutimiza jukumu hilo, pia wanawajibu wa kutuliza ghasia na kuhakikisha kunakuwepo amani na utulivu kwa ustawi wa taifa hili.
Kwa vile tayari kuna viashiria vyote vya uwezekano wa kutokea vitendo vya fujo na uvunjifu wa amani ambapo ni jukumu la polisi wetu kutuliza fujo hizo, ila katika kutuliza fujo hizo, naomba wazitulize Kitanzania na sio Kikaburu! .
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Ukaburu sio rangi ni matendo tuu! . Hata ukiwa mweusi kama mkaa, ukiwa na tabia za Kikaburu, wewe ni kaburu tuu! .
Siamini Polisi wetu wanaweza kuwa Makaburu hiyo tarehe mosi September, maandamano na mikutano nchi nzima kuhamasisha UKUTA ikipata kibali, tujitokeze kwa wingi! .
Pasco
Jeshi la Polisi ni wenzetu.
P
Hapa ulikuwa bado hujalamba asaliWanabodi,
Kazi Kuu ya Jeshi la Polisi ni kulinda raia na mali zao, katika kutimiza jukumu hilo, pia wanawajibu wa kutuliza ghasia na kuhakikisha kunakuwepo amani na utulivu kwa ustawi wa taifa hili.
Hizi picha ni picha za mazoezi ya kawaida ya ukakamavu ambayo hhufanyika mara kwa mara and they have nothing to do with maandamano na mikutano ya UKUTA nchi nzima siku ya tarehe 1 September. Siku hiyo kazi ya polisi itakuwa ni kuyaongoza maandamano hayo na kulinda mikutano ya hadhara ya Chadema nchi nzima.
Kwa vile tayari kuna viashiria vyote vya uwezekano wa kutokea vitendo vya fujo na uvunjifu wa amani ambapo ni jukumu la polisi wetu kutuliza fujo hizo, ila katika kutuliza fujo hizo, naomba wazitulize Kitanzania na sio Kikaburu! .
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Ukaburu sio rangi ni matendo tuu! . Hata ukiwa mweusi kama mkaa, ukiwa na tabia za Kikaburu, wewe ni kaburu tuu! .
Siamini Polisi wetu wanaweza kuwa Makaburu hiyo tarehe mosi September, maandamano na mikutano nchi nzima kuhamasisha UKUTA ikipata kibali, tujitokeze kwa wingi! .
Pasco
Ombi hili hatimaye limeanza kutelelezwaWanabodi,
Kazi Kuu ya Jeshi la Polisi ni kulinda raia na mali zao, katika kutimiza jukumu hilo, pia wanawajibu wa kutuliza ghasia na kuhakikisha kunakuwepo amani na utulivu kwa ustawi wa taifa hili.
Kwa vile tayari kuna viashiria vyote vya uwezekano wa kutokea vitendo vya fujo na uvunjifu wa amani ambapo ni jukumu la polisi wetu kutuliza fujo hizo, ila katika kutuliza fujo hizo, naomba wazitulize Kitanzania na sio Kikaburu! .
Pasco
Polisi ni wenzetuNilichogundua ni kwamba Tanzania ya sasa sio kama ya zamani Tanzania ya Rais Samia Suluhu ni ya amani miaka 5 iliyopita mpinzania alikua nia adui mkubwa wa polisi lakini sasa baada ya maridhiano yaliyofanywa tunaona polisi amerejea kwenye kazi yake ya kulinda amani
"Tunalipongeza jeshi polisi kwa namna ambavyo wametupa ushirikiano toka tumeanza mikutano, tunapaswa kuwapongeza kwa hili. Kipindi cha nyuma kulikuwa hamna ushirikiano lakini toka juzi tumeona ushirikiano wenu polisi na hata nyie mnatabasamu"
Baada ya kupokea taarifa hiiWanabodi,
Kazi Kuu ya Jeshi la Polisi ni kulinda raia na mali zao, katika kutimiza jukumu hilo, pia wanawajibu wa kutuliza ghasia na kuhakikisha kunakuwepo amani na utulivu kwa ustawi wa taifa hili.
Asante sana kwa taarifa hii, tutashiriki kikamilifu.
Ameandika Mbowe katika ukurasa wake wa mtandao wa X;
"Team yetu ya Chama ikiongozwa na Naibu Katibu Mkuu, Bara Mhe Benson Kigaila imekuwa na kikao na Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum, Dar Es Salaam ACP Jumanne Muliro na timu yake kuhusiana na Maandamano ya Amani yanayopangwa na kuratibiwa na CHADEMA siku ya Jumatano, 24 Januari 2024.
"Makubaliano yamefikiwa kuwa maandamano yaendelee kama yalivyopangwa.
"Nalipongeza Jeshi la Polisi kwa busara hii. Karibuni Watanzania wote, tuandamane kwa Amani."
Kitendo alichofanyiwa huyu mzee wa Chadema ikithibitishwa ni polisi wetu, then ni uthibitisho polisi wetu ni zaidi ya gestapo!.Wanabodi,
Kazi Kuu ya Jeshi la Polisi ni kulinda raia na mali zao, katika kutimiza jukumu hilo, pia wanawajibu wa kutuliza ghasia na kuhakikisha kunakuwepo amani na utulivu kwa ustawi wa taifa hili.
Kwa vile tayari kuna viashiria vyote vya uwezekano wa kutokea vitendo vya fujo na uvunjifu wa amani ambapo ni jukumu la polisi wetu kutuliza fujo hizo, ila katika kutuliza fujo hizo, naomba wazitulize Kitanzania na sio Kikaburu! .
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Ukaburu sio rangi ni matendo tuu! . Hata ukiwa mweusi kama mkaa, ukiwa na tabia za Kikaburu, wewe ni kaburu tuu! .
Siamini Polisi wetu wanaweza kuwa Makaburu
Pasco
Naomba kuwaandaa watu kisaikolojia kuhusu siku ya Jumatatu ya tarehe 23 SeptemberWanabodi,
Kazi Kuu ya Jeshi la Polisi ni kulinda raia na mali zao, katika kutimiza jukumu hilo, pia wanawajibu wa kutuliza ghasia na kuhakikisha kunakuwepo amani na utulivu kwa ustawi wa taifa hili.
Hizi picha ni picha za mazoezi ya kawaida ya ukakamavu ambayo hhufanyika mara kwa mara and they have nothing to do with maandamano na mikutano ya UKUTA nchi nzima siku ya tarehe 1 September. Siku hiyo kazi ya polisi itakuwa ni kuyaongoza maandamano hayo na kulinda mikutano ya hadhara ya Chadema nchi nzima.
Kwa vile tayari kuna viashiria vyote vya uwezekano wa kutokea vitendo vya fujo na uvunjifu wa amani ambapo ni jukumu la polisi wetu kutuliza fujo hizo, ila katika kutuliza fujo hizo, naomba wazitulize Kitanzania na sio Kikaburu! .
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Ukaburu sio rangi ni matendo tuu! . Hata ukiwa mweusi kama mkaa, ukiwa na tabia za Kikaburu, wewe ni kaburu tuu! .
Siamini Polisi wetu wanaweza kuwa Makaburu hiyo tarehe mosi September, maandamano na mikutano nchi nzima kuhamasisha UKUTA ikipata kibali, tujitokeze kwa wingi! .
Pasco
Wanabodi,
Kazi Kuu ya Jeshi la Polisi ni kulinda raia na mali zao, katika kutimiza jukumu hilo, pia wanawajibu wa kutuliza ghasia na kuhakikisha kunakuwepo amani na utulivu kwa ustawi wa taifa hili.
Hizi picha ni picha za mazoezi ya kawaida ya ukakamavu ambayo hhufanyika mara kwa mara and they have nothing to do with maandamano na mikutano ya UKUTA nchi nzima siku ya tarehe 1 September. Siku hiyo kazi ya polisi itakuwa ni kuyaongoza maandamano hayo na kulinda mikutano ya hadhara ya Chadema nchi nzima.
Kwa vile tayari kuna viashiria vyote vya uwezekano wa kutokea vitendo vya fujo na uvunjifu wa amani ambapo ni jukumu la polisi wetu kutuliza fujo hizo, ila katika kutuliza fujo hizo, naomba wazitulize Kitanzania na sio Kikaburu! .
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Ukaburu sio rangi ni matendo tuu! . Hata ukiwa mweusi kama mkaa, ukiwa na tabia za Kikaburu, wewe ni kaburu tuu! .
Siamini Polisi wetu wanaweza kuwa Makaburu hiyo tarehe mosi September, maandamano na mikutano nchi nzima kuhamasisha UKUTA ikipata kibali, tujitokeze kwa wingi! .
Pasco
Hili ni ombi kwa jeshi letu shupavu, kakamavu, makini na adilifu la polisi.Wanabodi,
Kazi Kuu ya Jeshi la Polisi ni kulinda raia na mali zao, katika kutimiza jukumu hilo, pia wanawajibu wa kutuliza ghasia na kuhakikisha kunakuwepo amani na utulivu kwa ustawi wa taifa hili.
Hizi picha ni picha za mazoezi ya kawaida ya ukakamavu ambayo hhufanyika mara kwa mara and they have nothing to do with maandamano na mikutano ya UKUTA nchi nzima siku ya tarehe 1 September. Siku hiyo kazi ya polisi itakuwa ni kuyaongoza maandamano hayo na kulinda mikutano ya hadhara ya Chadema nchi nzima.
Kwa vile tayari kuna viashiria vyote vya uwezekano wa kutokea vitendo vya fujo na uvunjifu wa amani ambapo ni jukumu la polisi wetu kutuliza fujo hizo, ila katika kutuliza fujo hizo, naomba wazitulize Kitanzania na sio Kikaburu! .
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Ukaburu sio rangi ni matendo tuu! . Hata ukiwa mweusi kama mkaa, ukiwa na tabia za Kikaburu, wewe ni kaburu tuu! .
Siamini Polisi wetu wanaweza kuwa Makaburu hiyo tarehe mosi September, maandamano na mikutano nchi nzima kuhamasisha UKUTA ikipata kibali, tujitokeze kwa wingi! .
Pasco