Ombi kwa Rais Samia: Chuo cha Diplomasia kipewe Jina la Dr. Salim A. Salim ikipendeza

Ombi kwa Rais Samia: Chuo cha Diplomasia kipewe Jina la Dr. Salim A. Salim ikipendeza

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
1643039185537.png
Nimejaribu kukumbuka kwa haraka haraka kuna kitu gani kinataja jina la Dr. Salim kwa kumbukumbu ya utumishi wake kwa taifa letu. Sijui kuna barabara au daraja gani limepewa jina lake. Ikumbukwe kwenye utumishi wa kimataifa hakuna mtu aliyeitangaza na kuacha alama kimataifa kama Dr. Salim A. Salim. Mojawapo ya rekodi yake ni kuwa Balozi mwenye umri mdogo zaidi alipoteuliwa kuiwakilisha Tanzania 1964 huko Misri (akiwa na kama miaka 22 tu!). KUtoka hapo nyota yake ilikua na ikaangaza.

KUbwa zaidi kidiplomasia ni pale alipowakilisha Tanzania Umoja wa Mataifa akiwa Rais wa Baraza la Usalama wa UM na kutoa msimamo wa Tanzania ambao uliiwezesha China kuweza kupata kura ya veto - kitu ambacho China haijasahau hadi leo hii! Lakini ikumbukwe kuwa nusura angekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa kwanza kutoka Afrika kama isingekuwa veto ya Marekani katika mchakato uliowagonanisha China na Marekani; zipigwa kura mara 16 hadi Dr. Salim na mpinzani wake walipojiondoa kupisha watu wengine! Mchango wake UN ni wakukumbuka! Hata alipopewa Boutros Ghali aliyekuwa anafuatia ni Dr. Salim (Ufaransa ilitishia kumveto Salim).

Lakini ndani ya nchi yetu alifanya mengi sana ambayo labda tumesahau lakini katika kipindi cha 1980 - 1986 (baada ya vita ya Uganda na ukame) alitumikia kwa nafasi nyeti kama Waziri Mkuu (baada ya kifo cha Sokoine), Makamu wa Rais na nafasi nyingine nyeti kama Waziri wa Ulinzi! Kwa baadhi yetu tunaweza kusema hakuna mtu aliyewahi kuandaliwa kuwa Rais wa Tanzania kama JMT hadi yale makorogo yaliyomharibia 1995. Nilipata nafasi ya kufanya na mahojiano naye miaka kadhaa nyuma kitu ambacho hadi kesho kilinifanya niendelee kumheshimu kwani kwa tuliokuwa vijana wa enzi hizo Dr. Salim alikuwa ni kile ambacho kinawezekana kwa kijana kujituma, kusoma na kutumikia nchi.

Ombi langu basi ni kuwa Chuo cha Diplomasia kipewe jina la Dr. Salim A. Salim na kibadilishwe jina na hadhi yake.

Pendekezo:
Salim A. Salim College for Diplomatic Studies (CDS) kutoka Centre for Foreign Relations (CFR)
A College of the University of Dar-es-Salaam

Na kiongezwe ili kutoa kozi hadi za uzamivu (kama sehemu ya UDSM) kwenye mambo ya diplomasia.

NB: Aliyetengeneza website yao (CFR) afungwe!!

====

Pia soma:
Rais Samia: Chuo cha Diplomasia sasa kitaitwa Chuo cha Dkt. Salim Ahmed Salim
 
Ombi langu basi ni kuwa Chuo cha Diplomasia kipewe jina la Dr. Salim A. Salim na kibadilishwe jina na hadhi yake.

Pendekezo:

Salim A. Salim College for Diplomatic Studies (CDS) kutoka Centre for Foreign Relations (CFR)
A College of the University of Dar-es-Salaam

Na kiongezwe ili kutoa kozi hadi za uzamivu (kama sehemu ya UDSM) kwenye mambo ya diplomasia.

NB: Aliyetengeneza website yao (CFR) afungwe!!
Naunga mkono hoja lakini kama kumbukumbu zangu zipo sawa, chuo kile sio mali yetu peke yetu bali na Serikali ya Msumbiji! Kwahiyo tuanze kwa kuiomba serikali ijenge hoja kwa mbia mwenzake kufikiria suala hilo!

Hata hivyo, suala la kukifanya sehemu ya UDSM linapaswa kuangaliwa kwa makini kwa sababu kinaweza kugeuka na kuanza kutoa kozi ambazo ni too academical.
 
Naunga mkono hoja lakini kama kumbukumbu zangu zipo sawa, chuo kile sio mali yetu peke yetu bali na Serikali ya Msumbiji! Kwahiyo tuanze kwa kuiomba serikali ijenge hoja kwa mbia mwenzake kufikiria suala hilo!

Hata hivyo, suala la kukifanya sehemu ya UDSM linapaswa kuangaliwa kwa makini kwa sababu kinaweza kugeuka na kuanza kutoa kozi ambazo ni too academical.

Umemuelekeza vema na pia ni zaidi ya Msumbiji kuna zaidi ya hapo. Tanzania ilichaguliwa tu kama eneo na ikatolewa ardhi, nafikiri pia ni heshima ya Tanzania kutokana na nguvu ya Southern corridor wakati wa harakati za kudai uhuru.
 
Mzee yuko poa sana, ni mwanasiasa mstaarabu sana wakati mwingine unaweza kudhani sio mwanasiasa, wakati wenzie wakijiingiza kwenye siasa za kuchafuana na za makundi, yeye akaamua kubaki na msimamo wake unaomfanya azidi kuheshimika wakati wote.

Anastahili kuenziwa kwa namna anavyoitunza thamani yake kama mtu binafsi, mwanasiasa, na mwanadiplomasia, nashangaa sijawahi hata kuona majina ya watoto wake kule wanakorithishana uongozi, au watoto nao wamechukua tabia ya baba yao, hawataki publicity?
 
Nimejaribu kukumbuka kwa haraka haraka kuna kitu gani kinataja jina la Dr. Salim kwa kumbukumbu ya utumishi wake kwa taifa letu. Sijui kuna barabara au daraja gani limepewa jina lake. Ikumbukwe kwenye utumishi wa kimataifa hakuna mtu aliyeitangaza na kuacha alama kimataifa kama Dr. Salim A. Salim. Mojawapo ya rekodi yake ni kuwa Balozi mwenye umri mdogo zaidi alipoteuliwa kuiwakilisha Tanzania 1964 huko Misri (akiwa na kama miaka 22 tu!). KUtoka hapo nyota yake ilikua na ikaangaza...
Kwanini unamuomba Samia? Nasadiki kuwa, kwa SSH, umemaanisha huyu Rais wetu!

Umemuomba yeye Rais kwa sababu Tanzania yetu hii Rais ndo kila kitu? Akiamua chochote kile kiwe hivi au vile, hakuna wa kupinga wala kukataa?

Au umemuomba kwa vile yeye ndiye mwenye mamlaka ya kisheria na kikatiba katika kubadili majina ya vitu kama hivyo?

Btw, Salim A. Salim Institute for Diplomatic Studies has a better ring to it. It kinda reflects the honoree himself. He is an institution….
 
Kwanini unamuomba Samia? Nasadiki kuwa, kwa SSH, umemaanisha huyu Rais wetu!

Umemuomba yeye Rais kwa sababu Tanzania yetu hii Rais ndo kila kitu? Akiamua chochote kile kiwe hivi au vile, hakuna wa kupinga wala kukataa?

Au umemuomba kwa vile yeye ndiye mwenye mamlaka ya kisheria na kikatiba katika kubadili majina ya vitu kama hivyo?

Btw, Salim A. Salim Institute for Diplomatic Studies has a better ring to it. It kinda reflects the honoree himself. He is an institution….
Kwa sababu kwa nafasi aliyokuwa nayo Salim sidhani kama kuna mtu yeyote mwingine anayeweza kuchukua uamuzi wa kumuenzi kivile kama siyo Rais. Aliwahi kuwa mtu mzito sana. Lakini pia kwa sababu baadhi ya taasisi wakuu wake wanateuliwa na Rais nina uhakika hata kubadili jina (by extension) kama Rais asipokubali basi haliwi. Ila nimependa hiyo ya Institute...
 
Nimejaribu kukumbuka kwa haraka haraka kuna kitu gani kinataja jina la Dr. Salim kwa kumbukumbu ya utumishi wake kwa taifa letu. Sijui kuna barabara au daraja gani limepewa jina lake. Ikumbukwe kwenye utumishi wa kimataifa hakuna mtu aliyeitangaza na kuacha alama kimataifa kama Dr. Salim A. Salim. Mojawapo ya rekodi yake ni kuwa Balozi mwenye umri mdogo zaidi alipoteuliwa kuiwakilisha Tanzania 1964 huko Misri (akiwa na kama miaka 22 tu!). KUtoka hapo nyota yake ilikua na ikaangaza.

KUbwa zaidi kidiplomasia ni pale alipowakilisha Tanzania Umoja wa Mataifa akiwa Rais wa Baraza la Usalama wa UM na kutoa msimamo wa Tanzania ambao uliiwezesha China kuweza kupata kura ya veto - kitu ambacho China haijasahau hadi leo hii! Lakini ikumbukwe kuwa nusura angekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa kwanza kutoka Afrika kama isingekuwa veto ya Marekani katika mchakato uliowagonanisha China na Marekani; zipigwa kura mara 16 hadi Dr. Salim na mpinzani wake walipojiondoa kupisha watu wengine! Mchango wake UN ni wakukumbuka! Hata alipopewa Boutros Ghali aliyekuwa anafuatia ni Dr. Salim (Ufaransa ilitishia kumveto Salim).

Lakini ndani ya nchi yetu alifanya mengi sana ambayo labda tumesahau lakini katika kipindi cha 1980 - 1986 (baada ya vita ya Uganda na ukame) alitumikia kwa nafasi nyeti kama Waziri Mkuu (baada ya kifo cha Sokoine), Makamu wa Rais na nafasi nyingine nyeti kama Waziri wa Ulinzi! Kwa baadhi yetu tunaweza kusema hakuna mtu aliyewahi kuandaliwa kuwa Rais wa Tanzania kama JMT hadi yale makorogo yaliyomharibia 1995. Nilipata nafasi ya kufanya na mahojiano naye miaka kadhaa nyuma kitu ambacho hadi kesho kilinifanya niendelee kumheshimu kwani kwa tuliokuwa vijana wa enzi hizo Dr. Salim alikuwa ni kile ambacho kinawezekana kwa kijana kujituma, kusoma na kutumikia nchi.

Ombi langu basi ni kuwa Chuo cha Diplomasia kipewe jina la Dr. Salim A. Salim na kibadilishwe jina na hadhi yake.

Pendekezo:
Salim A. Salim College for Diplomatic Studies (CDS) kutoka Centre for Foreign Relations (CFR)
A College of the University of Dar-es-Salaam

Na kiongezwe ili kutoa kozi hadi za uzamivu (kama sehemu ya UDSM) kwenye mambo ya diplomasia.

NB: Aliyetengeneza website yao (CFR) afungwe!!
Asante Rais Samia
 
Leo
Nimejaribu kukumbuka kwa haraka haraka kuna kitu gani kinataja jina la Dr. Salim kwa kumbukumbu ya utumishi wake kwa taifa letu. Sijui kuna barabara au daraja gani limepewa jina lake. Ikumbukwe kwenye utumishi wa kimataifa hakuna mtu aliyeitangaza na kuacha alama kimataifa kama Dr. Salim A. Salim. Mojawapo ya rekodi yake ni kuwa Balozi mwenye umri mdogo zaidi alipoteuliwa kuiwakilisha Tanzania 1964 huko Misri (akiwa na kama miaka 22 tu!). KUtoka hapo nyota yake ilikua na ikaangaza.

KUbwa zaidi kidiplomasia ni pale alipowakilisha Tanzania Umoja wa Mataifa akiwa Rais wa Baraza la Usalama wa UM na kutoa msimamo wa Tanzania ambao uliiwezesha China kuweza kupata kura ya veto - kitu ambacho China haijasahau hadi leo hii! Lakini ikumbukwe kuwa nusura angekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa kwanza kutoka Afrika kama isingekuwa veto ya Marekani katika mchakato uliowagonanisha China na Marekani; zipigwa kura mara 16 hadi Dr. Salim na mpinzani wake walipojiondoa kupisha watu wengine! Mchango wake UN ni wakukumbuka! Hata alipopewa Boutros Ghali aliyekuwa anafuatia ni Dr. Salim (Ufaransa ilitishia kumveto Salim).

Lakini ndani ya nchi yetu alifanya mengi sana ambayo labda tumesahau lakini katika kipindi cha 1980 - 1986 (baada ya vita ya Uganda na ukame) alitumikia kwa nafasi nyeti kama Waziri Mkuu (baada ya kifo cha Sokoine), Makamu wa Rais na nafasi nyingine nyeti kama Waziri wa Ulinzi! Kwa baadhi yetu tunaweza kusema hakuna mtu aliyewahi kuandaliwa kuwa Rais wa Tanzania kama JMT hadi yale makorogo yaliyomharibia 1995. Nilipata nafasi ya kufanya na mahojiano naye miaka kadhaa nyuma kitu ambacho hadi kesho kilinifanya niendelee kumheshimu kwani kwa tuliokuwa vijana wa enzi hizo Dr. Salim alikuwa ni kile ambacho kinawezekana kwa kijana kujituma, kusoma na kutumikia nchi.

Ombi langu basi ni kuwa Chuo cha Diplomasia kipewe jina la Dr. Salim A. Salim na kibadilishwe jina na hadhi yake.

Pendekezo:
Salim A. Salim College for Diplomatic Studies (CDS) kutoka Centre for Foreign Relations (CFR)
A College of the University of Dar-es-Salaam

Na kiongezwe ili kutoa kozi hadi za uzamivu (kama sehemu ya UDSM) kwenye mambo ya diplomasia.

NB: Aliyetengeneza website yao (CFR) afungwe!!
Leo yametimia Hongera mwanakijiji....Hongera Rais Samia
 
Back
Top Bottom