Ombi kwa Rais Samia: Chuo cha Diplomasia kipewe Jina la Dr. Salim A. Salim ikipendeza

Mungu ibariki JF
 
Halafu kitoke pale kilipo sasa kipatiwe eneo kubwa zaidi kuwezesha chuo kuwa na vitivyo vingi zaidi
 

Wewe sukuma gang, tunapowaambia mama anasikiliza kila kitu na yanayoingia akilini yote anayafanyia kazi, mnafikiri tunawatania?
 
Uliona mbali mkuu, kongole
 
Wewe sukuma gang, tunapowaambia mama anasikiliza kila kitu na yanayoingia akilini yote anayafanyia kazi, mnafikiri tunawatania?
Usimpe huyu mamako uwezo ambao hana
 
Mtakufa navyo vijiba vya roho.

Umepata habari za Sumbawanga?
Kuna kipi huko sumbawanga?

Je, huko bei za bidhaa zimepungua?

Je huko umeme upo masaa 24 haukatiki?

Je huko maji yapo masaa 24 siyo ya mgao?

Je huko bei za mafuta zipo chini sana?

Je huko dola inapatikana?

Je huko bei ya Cement haizwi elfu 20,000 badala ya 15?

Je huko mtu hafungwi kisa kamuimba mamako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…