Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Ombi langu kwa serikali ya JMT:
Mimi kama mwananchi wa taifa hili la Tanzania nina ombi kwa serikali yangu ya JMT kuruhusu huduma maalumu ya kujitoa uhai (Euthanasia) kwa magonjwa maalumu tu.
Hii huduma nilikuwa napendekeza iwe inapatikana kwa wagonjwa maalumu wenye magonjwa maalumu yasiyo na tumaini la uhai pasipo kujali aina gani ya matibabu mgonjwa anapatiwa.
Huduma hii ikiwepo nchini itasaidia kuokoa changamoto mbalimbali zinazo mkabili mgonjwa na walio mzunguka.
Nipende kutoa ombi langu.
Mimi kama mwananchi wa taifa hili la Tanzania nina ombi kwa serikali yangu ya JMT kuruhusu huduma maalumu ya kujitoa uhai (Euthanasia) kwa magonjwa maalumu tu.
Hii huduma nilikuwa napendekeza iwe inapatikana kwa wagonjwa maalumu wenye magonjwa maalumu yasiyo na tumaini la uhai pasipo kujali aina gani ya matibabu mgonjwa anapatiwa.
Huduma hii ikiwepo nchini itasaidia kuokoa changamoto mbalimbali zinazo mkabili mgonjwa na walio mzunguka.
Nipende kutoa ombi langu.