Ombi kwa Serikali: Iruhusu huduma ya kujitoa uhai (euthanasia)

Hii huduma ipo ila ni locally na hufanyika pasipo mgonjwa kuridhia kwasababu anakuwa hajijui. Pia huwa ni Siri nzito za wazee tu. Nitoe mfano Kuna watu huugua muda mrefu tiba zote zimeshindikana na hivyo anarudishwa nyumbani. Anakaa karibia miezi 6 na baadhi ya parts zinaanza kuoza lakini anapumua. Wazee huingilia kati. Nchi ninayoijua inatoa huduma ya Kujitoa uhai ni Ujerumani.
 
Uko sahihi sema jamii yetu ya kihafidhina inaweza kuona una tatizo la akili. Wakati mwingine tunazitia tu umaskini familia zetu
 
Switzerland pia wanatoa ila bongo ni illegal
 
Uko sahihi sema jamii yetu ya kihafidhina inaweza kuona una tatizo la akili. Wakati mwingine tunazitia tu umaskini familia zetu
Yes, safari bado ndefu uzuri hili suala halitakuwa la lazima bali hiari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…