Ombi kwa shirikisho la soka Tanzania (TFF)

Ombi kwa shirikisho la soka Tanzania (TFF)

Hakuna kuahirisha mechi, sisi Yanga tunajiamini, hatudeki - Ally Kamwe
Wewe nawe uwe na akili muda mwingine, kwanini mtu mzima unakuwa wa ovyo kila mahali unakuwa mjinga wa utimu.
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana hao ulio watolea mfano walisajiriliwa katika umri gani sasa hao wazee kina Zimbwe , Msuva wanaenda kufanya nini huko? mbaya zaidi kuonyesha huna akili unasema agent kuchoma nauli wakati hio ndio kazi yake
kwani timu ya taifa ina wachezaji wazee tu au wew ni kichaa unayejifanya una akili hamna vijana kwenye timu ya taifa ngoja nikupe mfano mwingine Ngassa wakati anaenda kufanya majaribio westaham ya EPL alionekana kupitia nationa team hakuonekana kupitia klabu ya Yanga Bongalo khumalo alisajiliwa na Spurs akiwa na umri wa miaka zaidi ya 28 ma agent walimuona kupitia timu ya taifa ya South ni mtoto yule nyiny vitoto mnajiandikiaga vitu bila ata kufikiri mkipewa fack mnaanza kutakana ovyo mpira wenyewe meanza kuangalia jana
 
Mbali na kucheza mpira kuna kupata injury pia hilo ulifikirie
Kwamba mazoezini ndo hawapati injuries.....nakupa home work hebu fuatilia idadi ya injuries zinazopatikana na mazoezini na kwenye mechi afu urudi hapa.
 
Kwamba mazoezini ndo hawapati injuries.....nakupa home work hebu fuatilia idadi ya injuries zinazopatikana na mazoezini na kwenye mechi afu urudi hapa.
Unajua mnataka kuleta ligi sizizo na maana, embu tuangalie faida na hasara kwa hao wachezaji wanaotegemewa na timu zao kwenda hizo mechi za kirafiki.

Mazoezini mchezaji anaweza kupata injury hata kwenye mechi pia uwezekano wa kupata injury upo ila nini faida ya hawa wachezaji kubakia na vilabu vyao?
1) kuna program ya mazoezi ya mwalimu kuelekea kwenye mechi za Al Ahly na Mamelod hivyo hawa wachezaji kuna session watalazimika kuzikosa hivyo ina wapa ugumu makocha wa Simba na Yanga kuandaa program zao vizuri.

Ikumbukwe kuwa timu ya taifa ya Tanzania itacheza mechi mbili na mechi ya mwisho itapugwa tarehe 25 March. Hivyo safari ya kurudi Tanzania itakuwa tarehe 27 March. Hao wachezaji watoke safarini kisha tarehe 29 waingie uwanjani kucheza mechi ya klabu bingwa je program ya mwalimu kuelekea kwenye mechi husika watakuwa wameifuatilia ipasavyo?

Hapo bado ishu ya uchovu wa safari na injury.
 
TFF tunaomba mfikirie umuhimu wa mashindano, ubora wa mashindano na vipaumbele vya mashindano. Kwasasa timu ya Simba na Yanga zina mechi muhimu sana ya klabu bingwa hatua ya robo fainali na inachezwa tarehe kati ya tarehe 29 na 30 mwezi huu. Lakini nimeshangazwa na kutaka kuwatumia wachezaji muhimu wa Simba na Yanga kwenye bonanza la FIFA series ambayo itachezwa tarehe 25 huko Azerbaijan.

Hivi kweli mmeshindwa kutafakari kuona umuhimu wa timu zetu za Tanzania kufanya vyema kwenye klabu bingwa kiasa kwamba hamkuona haya ya kuwaachia wachezaji wao waendelee na program za makocha wao kujiandaa na mechi ya klabu bingwa zilizopo mbele yao?

Yaani hili nalo ni mpaka mfundishwe? Au mnataka vilabu visiwe vinatoa ruhusa kwa wachezaji wao muhimu?

Kuna umuhimu wa viongozi wa Simba na Yanga kukaa chini na TFF kuomba kubakishiwa wachezaji wote waendelee na program za maandalizi ya mechi ya klabu bingwa na isitoshe katika wachezaji wataochukuliwa ni kutoka Tanzania pekee kwavile mataifa mengine yanatoka hawa wachezaji wa Simba na Yanga hayapo kwenye hili bonanza
Hao viongozi wa vilabu si ajabu wamekaa kimya wanafurahia wamepata sababu
 
Kuichukulia Yanga wachezaji watano wa muhimu sana (Mzize, Mudathir, Bacca, Mwamnyeto na Mshery) kwa wiki mbili hadi Machi 27 huku wakitegemewa kucheza dhidi ya Mamelodi siku ya Machi 29 kweli ni hujuma za makusudi dhidi ya Yanga kwenye CAF Championship.
 
Back
Top Bottom