rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Kwa tuliokaa Kigoma tunajua ukweli jamaa amebisha ili miradi aonekane anajua kitu.Hujakaa kigoma mkuu, uliza mtu yeyote akwambie huku mpaka saa moja na nusu jua bado halijazama. Usijaribu kubisha kitu ambacho huna uhakika nacho.