Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,290
- 2,468
Kipo kipaji kimoja kikongwe sana cha r n b kinaitwa Nuruel. Huyu jamaa ni mwanamuziki kweli. Ni zaidi ya Raymond. Alitoka na 'mng'aro wa silver. Akaja na kilio. Akaja kuimba na b band wimbo wa 'nzela'. Naona anawayawaya tu. Nasikia ni mtumiaji. Ila kiukweli kama WCB wakijaribu kuiona fursa ndani ya mtu huyu watakuwa wamefanya jambo adimu sana.
Niwaambie tu watu wote kuwa, sisi wa kizazi chetu cha 70s na 80s hatuna wawakilishi kwenye burudani. Tunabakia kusikiliza nyimbo za watoto hadi tunaona aibu. Nyimbo zenyewe za kitoto japo nzuri ila ujumbe si sahihi kwetu. Ukimsikiliza Chamellion wa uganda na Jaydee ndio utajua nasema nini. Nyimbo zao zinaakisi utu uzima wetu.
Sasa kwangu kwa upande wa rnb na afro pop hapa tz bado naona nuruel anafaa sana kutuwakilisha. Mfikishieni Diamond ujumbe huu. Pia tafuteni wimbo wa nzela muusikilize tena. Halafu tafuteni wimbo wa Kala Jeremia ft nuruel-usikate tamaa.
Niwaambie tu watu wote kuwa, sisi wa kizazi chetu cha 70s na 80s hatuna wawakilishi kwenye burudani. Tunabakia kusikiliza nyimbo za watoto hadi tunaona aibu. Nyimbo zenyewe za kitoto japo nzuri ila ujumbe si sahihi kwetu. Ukimsikiliza Chamellion wa uganda na Jaydee ndio utajua nasema nini. Nyimbo zao zinaakisi utu uzima wetu.
Sasa kwangu kwa upande wa rnb na afro pop hapa tz bado naona nuruel anafaa sana kutuwakilisha. Mfikishieni Diamond ujumbe huu. Pia tafuteni wimbo wa nzela muusikilize tena. Halafu tafuteni wimbo wa Kala Jeremia ft nuruel-usikate tamaa.