Ombi la Haraka la Uchunguzi wa Ushindani wa Haki katika Ligi Kuu ya NBC

Hizi porojo zinakuja baada ya Simba kuona hakuna namna ya kutwaa kombe la ligi msimu huu
 
TBL au SPOTI PESA WALIKUA VIONGOZI WA TIMU GANI WAKATI HUO NA NANI ALIKUA KWENYE JOPO LA MAAMUZI.
 
Yupo sahihi Ila alichokosea ni kuiambia tff ijichunguze, mwigulu ni mdhamini halafu mmiliki wa Ihefu, mavunde yupo yanga wakati huo huo yupo Dodoma jiji.
Jambo jingine timu zote hizo Kama wanadhaminiwa na sportpesa ni wote, gsm ni wote, hero ni wote .
 
Mwigulu ni mdhamini wa timu gani?
 
Kuna sehemu sijaelewa, yaani pamoja na kujikuta una jicho la tatu kwenye kuona mambo bado unatwambia tafsiri ya TFF(Tanzania football federation) ni chama cha mpira wa miguu Tanzania? Hauko serious
 
Umeandika upupu mtupu.... UEFA anasimamia soka barani Ulaya na TFF anasimamia na kuratibu soka nchini Tz pekee.
Leta mifano la kutoka kwenye mashirikisho yaliyochini ya EUFA ilitujifunze kama wana udhamini wa namna hii (uliopo NBC PL) kutoka huko barani Ulaya.
 
Huu ni uubwabwa.
 
Ana hoja ya msingi sana! Ila mashabiki wengi kutokana na kuwa na shule ndogo ukijumlisha na ujinga na ushamba hawawezi kumuelewa,wataishia kumtukana tu.

Ujinga na siasa za kipumbavu zilizojaa kwenye michezo ndio zipo kwenye sekta nyingine!
Kama hamto badilika na kuanza kujenga timu yenu mtaendelea kulalamika mpaka 2030 wakati Yanga anachukua ubingwa back to back
 
Rais wa caf pia ni mmiliki wa Mamelodi Sundowns klabu ya South Africa inayo shiriki Mashindano ya Caf hassa klabu bingwa.
Klabu kadhaa zimelalamika kuhusu hilo hassa kuhusu waamuzi wanaochezesha mechi zao huko South Africa.
 
bro ukitaka conflict of interest isiwepo hapo hersi saidi kama kiongozi wa yanga ajiuzu cheo chake pale yanga na asiratibu mambo ya timu,abaki kama mfadhili tu chini ya kampuni ya baba yake 'GSM' Otherwise hayo yote uliyoyasema ni porojo tu
Hersi ajiuzulu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Labda ungesema GSM asizamini timu zingine ibaki kwa Yanga tu,, hizo timu ndogo ndogo ziendelee kuteseka
 
Castore - Newcastle na Astonv Villa
Bet365 - Newcastle na Wolves
Adidas - Arsenal, Man U, Fulham, Nottingham Forest
Nike - Chelsea, Liverpool, Tottenham, Brighton
 
Rais wa caf pia ni mmiliki wa Mamelodi Sundowns klabu ya South Africa inayo shiriki Mashindano ya Caf hassa klabu bingwa.
Klabu kadhaa zimelalamika kuhusu hilo hassa kuhusu waamuzi wanaochezesha mechi zao huko South Africa.
Sio kweli
 
Castore - Newcastle na Astonv Villa
Bet365 - Newcastle na Wolves
Adidas - Arsenal, Man U, Fulham, Nottingham Forest
Nike - Chelsea, Liverpool, Tottenham, Brighton
Hao ndo Main Sponsors wa hizo Clubs tajwa?
Wengine hapo naona kama watengeneza Jezi vile......
 
bro ukitaka conflict of interest isiwepo hapo hersi saidi kama kiongozi wa yanga ajiuzu cheo chake pale yanga na asiratibu mambo ya timu,abaki kama mfadhili tu chini ya kampuni ya baba yake 'GSM' Otherwise hayo yote uliyoyasema ni porojo tu
Hiki ndicho mnachofanya?? Si mlimuona muhuni now mnataka aondoke Yanga, haendi kokote. Nenda polisi sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…