Kabisa mlikua mnashinda kutafuta umbea tu...ukitaka tafuta vitu vya maendeleo vimejaa teleTunajiandaa kujenga nchi kwa awamu nyenginem hiyo internet itarudisha nyuma tu juhudi za kuleta maendeleo ndio mana tumeamua kufunga [emoji23][emoji23]
We unatafuta nini JF na ulikuwa unapost wapi hayo maneno yako wakati JF ilipofungwa? 🤔Ujinga ni kwamba KUAMINI kuwa INTERNET imefungwa..
Kitu ambacho si KWELI.
Tunanyooka wote maana hata JF atukuweza kuingia hadi tulipodownload VPN, sio kwamba CCM walikuwa wanaweza kuingia kwenye social networks na wapinzani ama wasio na mrengo wowote wa kisiasa walishindwa. Tunanyooka kwa pamoja 🤫Mtanyooka tu
We unatafuta nini JF na ulikuwa unapost wapi hayo maneno yako wakati JF ilipofungwa? 🤔
Acha jazba. MaCCM mmeshinda kwa 102% alafu nyie tena ndiyo mnahasira kama kenge mwenye mimba.Ujinga ni kwamba KUAMINI kuwa INTERNET imefungwa..
Kitu ambacho si KWELI.
Na muendelee kuichagua hiyo CCM yenuTunanyooka wote maana hata JF atukuweza kuingia hadi tulipodownload VPN, sio kwamba CCM walikuwa wanaweza kuingia kwenye social networks na wapinzani ama wasio na mrengo wowote wa kisiasa walishindwa. Tunanyooka kwa pamoja [emoji2958]
Inaitwa "Tengeneza tatizo kisha litatuwe" ndo mpango wa sifa uliopo 😀Watafungua alafu CCM wataanza kusema tunamshukuru jpm mzalendo namba moja kwa kurudisha internet.
Tunawakeraaaaaaaa...Acha jazba.
MaCCM mmeshinda kwa 102% alafu nyie tena ndiyo mnahasira kama kenge mwenye mimba.
Hama Nchi faken cockroachKusema kweli watanzania ni watumwa. Ccm ni mkoloni halisi.
We mbwiga usiishi kwa kukariri. Unavyoitumia wewe FB sivyo anavyotumia mwingine. Super Idiot.Ujinga ni kwamba KUAMINI kuwa INTERNET imefungwa..
Kitu ambacho si KWELI..
kilichofungwa ni BAADHI ya MITANDAO YA KIJAMII tu
Huduma zote zinapatikana katika INTERNET..
kama kusoma huwa UNASOMA TWITTER?? au Classroom huw inafanyika FACEBOOK?? au WhatsApp??
Tumia akil vzr
Ingia BARABARANI... kama huwez tuliza kende
Na Tutawavunjaa
Hahahah... Kwa mtu aliye Serious hawez Tumia FB kusomea..We mbwinga usiishi kwa kukariri. Unavyoitumia wewe FB sivyo anavyotumia mwingine. Super Idiot.