Na muendelee kuichagua hiyo ccm yenu
Kwani hata unadhani imechaguliwa mkuu? Mtayachukia hayo mataga na malb7 bure mkuu.
Jizi kuu ni jiwe na washirika wake.
Umesahau yule mama mweupe alisema je? Hata msipowachagua watajitangaza tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na muendelee kuichagua hiyo ccm yenu
Kusema kweli watanzania ni watumwa. Ccm ni mkoloni halisi.
watu wanaojifanya Wana akili sana Kama huyu,almost ni vilaza kila Jambo kukurupuka tu.Ujinga ni kwamba KUAMINI kuwa INTERNET imefungwa..
Kitu ambacho si KWELI..
kilichofungwa ni BAADHI ya MITANDAO YA KIJAMII tu
Huduma zote zinapatikana katika INTERNET..
kama kusoma huwa UNASOMA TWITTER?? au Classroom huw inafanyika FACEBOOK?? au WhatsApp??
Tumia akil vzr
Ingia BARABARANI... kama huwez tuliza
Tanzania kila mtu anajifanya ni "Part of TISS", eti kabisa anajinasibu na kujishirikisha na yeye kwamba ni miongoni mwa marijali waliofunga internet... Aisee!! We kama ni m'beba takataka utaendelea kubaki hivyo, acha kujipa ucheo usio na uwezo nao.Hahahah... Kwa mtu aliye Serious hawez Tumia FB kusomea..
Na mtu aliye Serious... Basi muda huu anatumia VPN kupata huduma mbadala.. ila KWA MTU SHOGA.. kama ww utabak kusubir Marijali tufungue Net
Huna akili kuna watu wanafanya biashara kupitia social networks kama instagram, Facebook, Twitter ni ngumu ku promote ads walio wengi hawapo online utamuuzia nani. Dunia ya sasa sio kama ya zamani watu wanauza magari, nguo n.k onlineUjinga ni kwamba KUAMINI kuwa INTERNET imefungwa..
Kitu ambacho si KWELI..
kilichofungwa ni BAADHI ya MITANDAO YA KIJAMII tu
Huduma zote zinapatikana katika INTERNET..
kama kusoma huwa UNASOMA TWITTER?? au Classroom huw inafanyika FACEBOOK?? au WhatsApp??
Tumia akil vzr
Ingia BARABARANI... kama huwez tuliza kende
Na Tutawavunjaa
Na utamsikia mwenyewe akisema 'Kwanini mnawazimia internet wananchi wangu wanyoooonge kabisa,ona sasa hata vijana wanaoishi kwa kuuza miziki na movie kwny flash hawawezi kufanya kazi yao kwa sababu hakuna internet,kweli ndg zangu watanzania naomba mniombee sana hii kazi ya urais ni ngumu saaana mpk najuta kwanini nilisukumizwa huku'.Inaitwa "Tengeneza tatizo kisha litatuwe" ndo mpango wa sifa uliopo 😀
Hahah... Umbea tu.. hakuna Cha Ads wala utopolo wowotee.Huna akili kuna watu wanafanya biashara kupitia social networks kama instagram, facebook twitter ni ngumu ku promote ads walio wengi hawapo online utamuuzia nani.. dunia ya sasa sio kama ya zamani watu wanauza magari,nguo n.k online
Hahah naongea kama MWANACHAMA WA CCM, ikishinda CCM nimeshinda MIMI.Tanzania kila mtu anajifanya ni "Part of TISS", eti kabisa anajinasibu na kujishirikisha na yeye kwamba ni miongoni mwa marijali waliofunga internet... Aisee!! We kama ni m'beba takataka utaendelea kubaki hivyo, acha kujipa ucheo usio na uwezo nao.
Nakukumbusha tu..Tanzania kila mtu anajifanya ni "Part of TISS", eti kabisa anajinasibu na kujishirikisha na yeye kwamba ni miongoni mwa marijali waliofunga internet... Aisee!! We kama ni m'beba takataka utaendelea kubaki hivyo, acha kujipa ucheo usio na uwezo nao.
Inategemea Huwenda BIBI yako MAREHEMU mzaa SHOGA atapata chochote kitu cha kuingiza Mdomonialafu baada ya hapo bibi yako mzaa mama ndiyo atapata maji safi na salama na kuacha kwenda haja maporini??
hahaha hapa mataga tayari umeshapanicInategemea Huwenda BIBI yako MAREHEMU mzaa SHOGA atapata chochote kitu cha kuingiza Mdomoni
Nina FURAHA sanaa yaan MKUU yaan ni nderemo na Vifijohahaha hapa mataga tayari umeshapanic
hahaha una furaha gani mataga wakati umepanic kama umefumaniwa na mme wa mtu kwenye bafu la uani.Nina FURAHA sanaa yaan MKUU yaan ni nderemo na Vifijo
Leo akitangazwa Mkuu.. wetu wa NCHI mtakatifuu JPM bas ntasheherekea usiku kucha na DADA zako waliopo mitaani
We tulia.. tushashinda tawaza makalio hayo badilisha pedi lalahahaha una furaha gani mataga wakati umepanic kama umefumaniwa na mme wa mtu kwenye bafu la uani.
hahahah hapa mataga tayari umeshapanic.We tulia.. tushashinda tawaza makalio hayo badilisha pedi lala
Nawaonea huruma sana CHADEMA.. msiache KULA... mtakondeana saanahahahah hapa mataga tayari umeshapanic.
Punguza jazba mataga.