mwanateknolojia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 1,026
- 1,749
Salam WanaJF!
Kama kichwa cha Habari hapo juu. Nimehitimu First Degree ya ICT miaka michache ilopita. Tayari nilifanikiwa kuajiriwa. Sasa nimeamua kwenda kuongeza kitabu kwa ngazi ya Masters Degree.
Hata hivyo nina Interest na fani mbili;-
1.Masters of Science in Project Planning and Manangement
2. Masters of Science in Information Technology
Sasa niko njiapanda ,Je nichukuwe fani ipi ?
Na Je kwa kila fani ni vyuo vipi vinafaa zaidi? Maana kuna baadhi ya vyuo nimesikia maprofesor wasimamizi ni changamoto, anatumiwa corse work anakaa nayo mwezi!
Kama kichwa cha Habari hapo juu. Nimehitimu First Degree ya ICT miaka michache ilopita. Tayari nilifanikiwa kuajiriwa. Sasa nimeamua kwenda kuongeza kitabu kwa ngazi ya Masters Degree.
Hata hivyo nina Interest na fani mbili;-
1.Masters of Science in Project Planning and Manangement
2. Masters of Science in Information Technology
Sasa niko njiapanda ,Je nichukuwe fani ipi ?
Na Je kwa kila fani ni vyuo vipi vinafaa zaidi? Maana kuna baadhi ya vyuo nimesikia maprofesor wasimamizi ni changamoto, anatumiwa corse work anakaa nayo mwezi!