Haiku JF-Expert Member Joined Mar 31, 2018 Posts 2,915 Reaction score 2,050 Mar 28, 2021 #21 Msingida said: Angeanza na Madaraja 2014/2015 mapema iwezekanavyo,ikifika hiyo Mei 1 anatamka hiyo habari nyingine. Mungu amjalie wepesi Mama yetu. Click to expand... Mkuu hii ni ndoto.
Msingida said: Angeanza na Madaraja 2014/2015 mapema iwezekanavyo,ikifika hiyo Mei 1 anatamka hiyo habari nyingine. Mungu amjalie wepesi Mama yetu. Click to expand... Mkuu hii ni ndoto.
witnessj JF-Expert Member Joined Mar 22, 2015 Posts 28,704 Reaction score 47,260 Mar 28, 2021 #22 Honorable GPA said: Mimi naomba siku ya mei mosi atukumbuke tusiokuwa na ajira! Tumepigika mno huku mtaani jamani! Angalau na sisi tufaidi kidogo keki ya taifa kama nyinyi! Click to expand... Mjiajiri mkuu...
Honorable GPA said: Mimi naomba siku ya mei mosi atukumbuke tusiokuwa na ajira! Tumepigika mno huku mtaani jamani! Angalau na sisi tufaidi kidogo keki ya taifa kama nyinyi! Click to expand... Mjiajiri mkuu...
Msingida JF-Expert Member Joined Dec 1, 2010 Posts 10,239 Reaction score 11,731 Mar 28, 2021 #23 parts said: Mkuu hii ni ndoto. Click to expand... Ndoto kipindi cha Magu,sasa inaweza kuwa kweli!
Honorable GPA Senior Member Joined Mar 31, 2019 Posts 149 Reaction score 223 Mar 28, 2021 #24 witnessj said: Mjiajiri mkuu... Click to expand... Tatizo hatuna mitaji mkuu!
Cotton pamba JF-Expert Member Joined Dec 16, 2020 Posts 303 Reaction score 209 Mar 29, 2021 Thread starter #25 Ngosha Mashine said: Wewe upo kada gani mkuu?, tuanzie hapo kwanza Click to expand... Hii ya watu wengi mno mkuu Honorable GPA said: Mimi naomba siku ya mei mosi atukumbuke tusiokuwa na ajira! Tumepigika mno huku mtaani jamani! Angalau na sisi tufaidi kidogo keki ya taifa kama nyinyi! Click to expand... Kwa huruma za huyu mama anaweza fanya jambo. Tuendelee kumuombea tuu
Ngosha Mashine said: Wewe upo kada gani mkuu?, tuanzie hapo kwanza Click to expand... Hii ya watu wengi mno mkuu Honorable GPA said: Mimi naomba siku ya mei mosi atukumbuke tusiokuwa na ajira! Tumepigika mno huku mtaani jamani! Angalau na sisi tufaidi kidogo keki ya taifa kama nyinyi! Click to expand... Kwa huruma za huyu mama anaweza fanya jambo. Tuendelee kumuombea tuu
Honorable GPA Senior Member Joined Mar 31, 2019 Posts 149 Reaction score 223 Mar 29, 2021 #26 Cotton pamba said: Hii ya watu wengi mno mkuu Kwa huruma za huyu mama anaweza fanya jambo. Tuendelee kumuombea tuu Click to expand... Insha'Allah!
Cotton pamba said: Hii ya watu wengi mno mkuu Kwa huruma za huyu mama anaweza fanya jambo. Tuendelee kumuombea tuu Click to expand... Insha'Allah!