Mi nawashangaa sana, sisi Tanzania na Africa mashariki, mnatuletea habari za DW kwa kijerumani na Kifaransa au kiitaliano kwa nini msiwapelekee wanaoongea lugha hizo.
Mimi mkiweka hizo kwa kiingereza mkaongeza na NHK ya kijapan kwenye kifurushi cha bomba, sitawahama na nitalipia kwa wakati. Mnatakiwa mjiongeze msipigwe bao na Azam wamejaza michezo na matamthiliya ya kiswahili kwa ajili ya wanawake.
Dstv mko juu sana, wekeni channel za kiingereza tutawapenda zaidi. Sio mMnatuchanganyia na kijerumani, kifaransa, kiitaliano , kirusi nk. Hizo ziwekeni kwenye vifurushi vinavyofanana huko.
Mfano wa rwanda au burundi na congo wapeni za vifurushi vya lugha zao, kifurushi chenyewe kinaitwa bomba, afu unaniwekea kijerumani au kirusi, weka kwa kiingereza, ongezeni pia na VOA ya america ni nzuri sana.