majata
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 431
- 180
Kazi kubwa ambayo imesalia sasa ni kuhakikisha kura zinalindwa na zinahesabiwa kwa uangalifu kwani ushindi upo wazi kwa Dr slaa, naomba mawakala wazingatie yafwatayo:
1. Wawe waaminifu na wapenda mabadiliko wa ukweli.
2. wakatae kabisa kupokea rushwa ilikubadilisha matokeo.
3. wawe makini wahakikishe wamejiandaa kisaikolojia na wahakikishe wamepumzika
vizuri kabla yakuingia chumba cha kupigia kura ili wasije kusinzia, nikosa kubwa.
4. Wawe wakali wanapoona mambo yanayoweza kuingiza udanganyifu kwenye kura.
5. watambue hatma ya watanzania wameishikilia wao.
na mwisho chadema wahakikishe wanatakwimu sahihi za vituo vyote vya kupigia kura na mawakala wao wote lazima wawe wamehakikiwa na tume ya uchaguzi kwani kuna tetesi za kuwepo vituo feki vya kura ilikuchakachua matokeo, na wahakikishe kila kituo wana mawakala.
1. Wawe waaminifu na wapenda mabadiliko wa ukweli.
2. wakatae kabisa kupokea rushwa ilikubadilisha matokeo.
3. wawe makini wahakikishe wamejiandaa kisaikolojia na wahakikishe wamepumzika
vizuri kabla yakuingia chumba cha kupigia kura ili wasije kusinzia, nikosa kubwa.
4. Wawe wakali wanapoona mambo yanayoweza kuingiza udanganyifu kwenye kura.
5. watambue hatma ya watanzania wameishikilia wao.
na mwisho chadema wahakikishe wanatakwimu sahihi za vituo vyote vya kupigia kura na mawakala wao wote lazima wawe wamehakikiwa na tume ya uchaguzi kwani kuna tetesi za kuwepo vituo feki vya kura ilikuchakachua matokeo, na wahakikishe kila kituo wana mawakala.