shakazulu85
New Member
- Jan 16, 2019
- 2
- 0
Habari wakuu, kwanza nitangulize samahani kwenu.
Pili naomba kufikishiwa ujumbe wangu kwa ma mods.
nimejirejister tangu tarehe 16-1-2019, lakini cha kushangaza mpka leo bado account yangu haijawa active kwa maana siwezi kupost wala kucoment ktk uzi wowote na jukwaa lolote zaid ya hapa. Na hapa pia sitaweza kucoment.
Hvyo ombi langu kwenu wakuu, mnisaidie kumshutua moderator anikumbuke maana nakosa faida kubwa.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu kwa msaada mtakaonipa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pili naomba kufikishiwa ujumbe wangu kwa ma mods.
nimejirejister tangu tarehe 16-1-2019, lakini cha kushangaza mpka leo bado account yangu haijawa active kwa maana siwezi kupost wala kucoment ktk uzi wowote na jukwaa lolote zaid ya hapa. Na hapa pia sitaweza kucoment.
Hvyo ombi langu kwenu wakuu, mnisaidie kumshutua moderator anikumbuke maana nakosa faida kubwa.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu kwa msaada mtakaonipa
Sent using Jamii Forums mobile app