matatizo ye2
New Member
- Feb 20, 2013
- 2
- 0
naombeni msaada wenu wana jamii
mimi ni mwanafunzi niliyehitimu kidato cha nne mwaka jana(2012) na kupata matokeo ambayo naamini kwa asilimia mia moja(100%) siyo yakwangu, si kwamba nimepoteza imani na uogozi wa wizara tu; bali hata mchakato mzima mpaka kupelekea aina hii ya matokeo kwangu na kwa nchi nzima pia. OMBI LANGU KWENU NAWEZAJE KUAPILI KWA AJILI YA MATOKEO YANGU ILI YAANGALIWE UPYA
mimi ni mwanafunzi niliyehitimu kidato cha nne mwaka jana(2012) na kupata matokeo ambayo naamini kwa asilimia mia moja(100%) siyo yakwangu, si kwamba nimepoteza imani na uogozi wa wizara tu; bali hata mchakato mzima mpaka kupelekea aina hii ya matokeo kwangu na kwa nchi nzima pia. OMBI LANGU KWENU NAWEZAJE KUAPILI KWA AJILI YA MATOKEO YANGU ILI YAANGALIWE UPYA