Ombi langu Simba day: Wazomeeni magarasa wakitambulishwa

Ombi langu Simba day: Wazomeeni magarasa wakitambulishwa

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Siyo mimi tu washabiki wengi wa Simba wamestushwa na baadhi ya sura walizoziona leo kwenye msafara wa kwenda Egypt

Kwa kuwa wenye maamuzi wameamua team iendelee na hekaheka za kutegemea wakimbiaji toka pembeni na siyo M CF wenye akili timamu basi nawaomba wapenzi wa simba mtakaojitokeza tarehe 8/8/22 kwenye Simba day MUWAZOMEE KWA NGUVU MAGARASA hayo wakati yakitajwa ili uongozi ujue kwamba wamelazimisha kurudia kosa la kuwa na ushambuliaji butu makusudi na hayo magarasa ni ya kwao siyo ya wana simba

Huruma sana kwa kocha mpya labda kama style yake ni ya kutegemea hekaheka za kina Kibu Deniss lakini kama ana matarajio ya kucheza na strikers 2 mbele wenye uwezo na akili timamu ajiandae kufukuzwa mapema ingawa siyo kosa lake
 
Mkuu mbona bado muda upo kama vipi weka pesa tukachukue straika mmoja pale tuwatoe mugalu na kagere simple tu.
 
Mkuu mbona bado muda upo kama vipi weka pesa tukachukue straika mmoja pale tuwatoe mugalu na kagere simple tu.
ingekuwa hivyo basi kusingkuwa na haja ya kulalamikia hata mambo ya nchi yakienda vibaya...kama hawana pesa si waseme wajitokeze hata wenye mapenzi mema na club wakanunue strikers....kulikuwa na haja gani ya kununua viungo huku shida msimu uliopita ukiwa ni hayo magarasa hapo mbele?
 
Kwa akili zangu timamu, NATANGAZA KWA KUJIAMINI KABISA, SIMBA ASIPOCHUKUA KOMBE LA LIGI MSIMU WA 2022/2023 NIPIGWE BAN YA MWAKA MZIMA.
Maxence Melo Active niko serious katika hili
 
Wakizomewa wachezaji watakuwa wanaonewa kwa sababu wao wanatafuta mkate wao wa kila siku na wana familia zinazowategemea. Na kikubwa kabisa sio kosa lao kusajiliwa Simba na hawakujipeleka wenyewe. Kwa upande wangu kama kuna watu wa kuzomewa basi wanaostahili kuzomewa ni wale viongozi wanaowakumbatia hao wachezaji mnaowaona magarasa. Inaonekana kama vile Simba kuna tatizo la fedha na uongozi lakini linafichwa ila muda utaongea.

Lakini ifike mahali tu MO na Babra wawe wawazi iwapo mzigo umekata basi watoke hadharani kusema ukweli na MO ashauriwe auze baadhi ya hisa zake kwa matajiri wengine wenye uwezo. Kitendo cha kushindwa kutafuta mabeki wa pembeni "local" wenye uwezo mkubwa wa hapa nyumbani wa kuwasaidia Kapombe na Zimbwe na badala yake kuendelea na Gadiel na Mwenda inafikirisha sana sana hasa ukizingatia Simba kwenye bodi yake kuna magwiji wa mpira kama Magori (alikuwa ansomea ukocha), Kaduguda (ana leseni ya ukocha), Mulamu, Kassim Dewji na hata Salim "Try Again". Au hawa magwiji hawakushirikishwa kwenye usajili wa mwaka huu?
 
Siyo mimi tu washabiki wengi wa Simba wamestushwa na baadhi ya sura walizoziona leo kwenye msafara wa kwenda Egypt

Kwa kuwa wenye maamuzi wameamua team iendelee na hekaheka za kutegemea wakimbiaji toka pembeni na siyo M CF wenye akili timamu basi nawaomba wapenzi wa simba mtakaojitokeza tarehe 8/8/22 kwenye Simba day MUWAZOMEE KWA NGUVU MAGARASA hayo wakati yakitajwa ili uongozi ujue kwamba wamelazimisha kurudia kosa la kuwa na ushambuliaji butu makusudi na hayo magarasa ni ya kwao siyo ya wana simba

Huruma sana kwa kocha mpya labda kama style yake ni ya kutegemea hekaheka za kina Kibu Deniss lakini kama ana matarajio ya kucheza na strikers 2 mbele wenye uwezo na akili timamu ajiandae kufukuzwa mapema ingawa siyo kosa lake

Nadhani la muhimu ni kuisusia hiyo Simba day. Maana Viongozi hawajielewi. Huyo mugalu anahitajika na nkana ya Zambia issue Ni mshahara, anataka aendelee kulpwa dola elfu tano kwa mwezi Kama anavyolipwa Simba.
 
Mashabiki tuna imani na MUGALU pamoja na BULL striker KAGERE.Acha kutumezesha maneno tafadhali

Kuwa na imani sio shida. shida ni uwezo wa kucheza kwa mugalu na bull striker.
 
Wakizomewa wachezaji watakuwa wanaonewa kwa sababu wao wanatafuta mkate wao wa kila siku na wana familia zinazowategemea. Na kikubwa kabisa sio kosa lao kusajiliwa Simba na hawakujipeleka wenyewe. Kwa upande wangu kama kuna watu wa kuzomewa basi wanaostahili kuzomewa ni wale viongozi wanaowakumbatia hao wachezaji mnaowaona magarasa. Inaonekana kama vile Simba kuna tatizo la fedha na uongozi lakini linafichwa ila muda utaongea.

Lakini ifike mahali tu MO na Babra wawe wawazi iwapo mzigo umekata basi watoke hadharani kusema ukweli na MO ashauriwe auze baadhi ya hisa zake kwa matajiri wengine wenye uwezo. Kitendo cha kushindwa kutafuta mabeki wa pembeni "local" wenye uwezo mkubwa wa hapa nyumbani wa kuwasaidia Kapombe na Zimbwe na badala yake kuendelea na Gadiel na Mwenda inafikirisha sana sana hasa ukizingatia Simba kwenye bodi yake kuna magwiji wa mpira kama Magori (alikuwa ansomea ukocha), Kaduguda (ana leseni ya ukocha), Mulamu, Kassim Dewji na hata Salim "Try Again". Au hawa magwiji hawakushirikishwa kwenye usajili wa mwaka huu?

Watu tuna haki ya kutoa maoni ila kuna maoni ukiyasoma unaishia kusikitika tu. Ingekua tunatoa pesa zetu hakika hao viongozi tungewaua.

Watu wanijitahidi kusajiri ila dhihaka kwao hazituishi. Nadhani unaona hela ilivyo ngumu kuitafta, halafu wewe unakuja kuongea kirahisi rahisi tu kuvunja mikataba ya watu na kuwalipa pesa za bure.

Tushaambia usajiri unafanyika na kuna wachezaji wengine watatu watatambulishwa kwanini tusitulie tukaachana na haya malalamiko kusubiri nini kitafuata?
 
Inatakiwa mambo 3 sisi mashabiki wa Simba tuyafanye siku ya Simba Day.

1.Kuisusia shughuli nzima ya Simba day.

2.Kuhudhuria Simba day tukiwa na mabango ya 'kuwasiliba' magarasa na viongozi waliohusika kuwabakiza hao walemavu wa akili na mwili.

3.Kila garasa litakapogusa mpira ni kulizomea mwanzo mwisho.Na hili liendelezwe hata kwenye ligi.

Sipendi ujinga kabisa!
 
Wakizomewa wachezaji watakuwa wanaonewa kwa sababu wao wanatafuta mkate wao wa kila siku na wana familia zinazowategemea. Na kikubwa kabisa sio kosa lao kusajiliwa Simba na hawakujipeleka wenyewe. Kwa upande wangu kama kuna watu wa kuzomewa basi wanaostahili kuzomewa ni wale viongozi wanaowakumbatia hao wachezaji mnaowaona magarasa. Inaonekana kama vile Simba kuna tatizo la fedha na uongozi lakini linafichwa ila muda utaongea.

Lakini ifike mahali tu MO na Babra wawe wawazi iwapo mzigo umekata basi watoke hadharani kusema ukweli na MO ashauriwe auze baadhi ya hisa zake kwa matajiri wengine wenye uwezo. Kitendo cha kushindwa kutafuta mabeki wa pembeni "local" wenye uwezo mkubwa wa hapa nyumbani wa kuwasaidia Kapombe na Zimbwe na badala yake kuendelea na Gadiel na Mwenda inafikirisha sana sana hasa ukizingatia Simba kwenye bodi yake kuna magwiji wa mpira kama Magori (alikuwa ansomea ukocha), Kaduguda (ana leseni ya ukocha), Mulamu, Kassim Dewji na hata Salim "Try Again". Au hawa magwiji hawakushirikishwa kwenye usajili wa mwaka huu?
Tatizo la Simba ni kuwa na mwekezaji mmoja badala ya watu,,. Mo alitumia nguvu kubwa aweni yeye pekee.

Matokeo yake amekuwa anatoa maamuzi ya peke yake na kuona ni mzigo mkubwa kuihudumia Simba na bila kuweka wawekezaji wengine tuendelee kusubiri maamuzi ya hovyo
 
Kitu ambacho baadhi ya Mashabiki hawajui, wale wachezaji wa mbele wote wamebakisha msimu mzima Ili uwaondoe unahitaji kuwalipa stahiki zao zote Tena wengine itabidi uwalipe na fidia ya ku terminate mikataba Yao.

Sasa inatakiwa ujue Kila mchezaji kati yao analipwa kiasi gani uzidishe Kwa msimu mzima, pamoja na stahiki zingine zote za ki mkataba.

Kingine utafute mbadala sahihi na utambue washambuliaji wote hatari kwenye soko wao ni keki na wanagombewa.

Timu zinazo wamiliki wachezaji nyota nazo zinataka kuwabakisha, timu zingine nazo zinawagombea.

Tatizo lililopo Simba kulingana na Hali ni fedha za kulipa wanao vunjiwa mikataba na fedha za kununua wapya.
 
Back
Top Bottom