Pre GE2025 Ombi Maalum, Kwa Mtu Maalum Achana na Hizi Mutatis Mutandis Kwenye Chaguzi za SM2024 & U/Mkuu2025, Tumia Ceteris Peribus, Utabarikiwa, Tutabarikiwa!

Pre GE2025 Ombi Maalum, Kwa Mtu Maalum Achana na Hizi Mutatis Mutandis Kwenye Chaguzi za SM2024 & U/Mkuu2025, Tumia Ceteris Peribus, Utabarikiwa, Tutabarikiwa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi

Wanabodi,
Hili ni ombi mahsus na maalum kwa mtu mahsus na maalum, hivyo hii thread sio thread ya watu wote bali ni thread mahsus maalum kwa mtu mahsus maalum kwa lengo mahsus maalum la
kutumia ujumbe mahsus maalum kabisa kwa mtu wetu mahsus maalum kabisa.
Tanzania sio nchi ya watu fulani tuu au chama fulani tuu, Tanzania ni nchi ya Watanzania wote, wa vyama vyote, dini zote, makabila yote, jamii zote, jinsia zote, rangi zote, hali zote za maisha, matajiri na masikini na Watanzania wa circumstances zote.

Mimi nikiwa mwandishi wa habari, kuna vitu vibaya naviona na vina matokeo mabaya nimeuyashuhudia kwenye chaguzi zetu zote za vyama vingi, zimekuwa zikiendeshwa kwa utaratibu na mtindo wa "Mutatis Mutandis"

Hivyo sasa tunapokwenda kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025 naomba kutoa ombi mahsus na maalum na angalizo muhimu kwa mhusika mkuu who matters most na uchanguzi huu wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, uendeshwe kwa kutumia kanuni ya Kilatini ya "ceteris paribus" na sio kuendelea kutumia hizi kanuni zetu za kawaida za kila siku za "Mutatis Mutandis"!.

Nimesikia sauti, "voices from within" ikiniambia kuwa tukiendelea kufanya chaguzi zetu kwa Mutatis Mutandis, hizi, kuna jambo fulani litatokea tena kama lilivyotokea baada ya mutatis mutandis ya uchagizi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020.

Mhusika mkuu wa uchanguzi huu, who matters most akikubali uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kuendeshwa kwa ceteris paribus , atabarikiwa sana na taifa letu litabarikiwa wakiwemo viongozi wetu, watabarikiwa sana, na sisi wananchi wa kawaida pia, tutabarikiwa na kupata neena na mafanikio makubwa, na nchi yetu kupata ustawi mkubwa wa kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Lakini tukiendelea kutumia huu mtindo wetu wa kawaida wa siku zote wa mutatis mutandis, taifa letu tutalaaniwa na viongozi wetu watalaaniwa na kuadhibiwa!, and you never know ni adhabu gani viongozi wetu wakuu wataadhibiwa this time around!.

Mungu Mbariki Rais Samia na watendaji wake wapate uwezo huo katika YEYE, watumie "Ceteris Peribus" kwa vyama vyote na sio kuendeleza "Mutatis Mutandis" ya chama kimoja!.

NB. Sijaweka ufafanuzi wa maneno "Ceteris Peribus" na "Mutatis Mutandis" sio kwa bahati mbaya, nimefanya hivi kwa makusudi mazima, kwa sababu ujumbe huu ni ujumbe mahsus maalum kwa mtu mahsus na maalum na ambaye mattes most namjua na huwa anatembelea sana tuu, humu jf na anamuita Mkuu Max, "mwanangi".

Sasa kwa vile mtu huyo, anayajua maneno hayo. Wengine wote hata msipo yajua, kitu muhimu ni ujumbe umemfikia mhusika.

Hata Mungu alipotaka kumfikishia ujumbe maalum mfalme Belshaza, alimtumia kiganja cha mkono kikaandika kwenye ukuta wake, "Mene Mene Tekeli na Peresi", tukiendelea kufanya chaguzi zetu kwa hizi Mutatis Mutandis badala ya kutumia.

Ceteris Paribus, then amini nakuambia kuna siku Mene Mene Takeli na Peresi itakuja kuishukia Tanzania na kumshukia mtu huyo mahsus na maalum.

Mungu ibariki Tanzania.
Nawatakia Weekend Njema,

Paskali,
Washington DC
Marekani
 
mutati
Wanabodi

Wanabodi,
Hili ni ombi mahsus na maalum kwa mtu mahsus na maalum, hivyo hii thread sio thread ya watu wote bali ni thread mahsus maalum kwa mtu mahsus maalum kwa lengo mahsus maalum la
kutumia ujumbe mahsus maalum kabisa kwa mtu wetu mahsus maalum kabisa.

Tanzania sio nchi ya watu fulani tuu au chama fulani tuu, Tanzania ni nchi ya Watanzania wote, wa vyama vyote, dini zote, makabila yote, jamii zote, jinsia zote, rangi zote, hali zote za maisha, matajiri na masikini na Watanzania wa circumstances zote.
Paskali,
Mutatis Mutandis kuhusu uchaguzi serikali za mitaa zinaendelea....
 
Wanabodi

Wanabodi,
Hili ni ombi mahsus na maalum kwa mtu mahsus na maalum, hivyo hii thread sio thread ya watu wote bali ni thread mahsus maalum kwa mtu mahsus maalum kwa lengo mahsus maalum la
kutumia ujumbe mahsus maalum kabisa kwa mtu wetu mahsus maalum kabisa.

Tanzania sio nchi ya watu fulani tuu au chama fulani tuu, Tanzania ni nchi ya Watanzania wote, wa vyama vyote, dini zote, makabila yote, jamii zote, jinsia zote, rangi zote, hali zote za maisha, matajiri na masikini na Watanzania wa circumstances zote.

Mimi nikiwa mwandishi wa habari, kuna vitu vibaya naviona na vina matokeo mabaya nimeuyashuhudia kwenye chaguzi zetu zote za vyama vingi, zimekuwa zikiendeshwa kwa utaratibu na mtindo wa "Mutatis Mutandis"

Hivyo sasa tunapokwenda kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025 naomba kutoa ombi mahsus na maalum na angalizo muhimu kwa mhusika mkuu who matters most na uchanguzi huu wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, uendeshwe kwa kutumia kanuni ya Kilatini ya "ceteris paribus" na sio kuendelea kutumia hizi kanuni zetu za kawaida za kila siku za "Mutatis Mutandis"!.

Nimesikia sauti, "voices from within" ikiniambia kuwa tukiendelea kufanya chaguzi zetu kwa Mutatis Mutandis, hizi, kuna jambo fulani litatokea tena kama lilivyotokea baada ya mutatis mutandis ya uchagizi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020.

Mhusika mkuu wa uchanguzi huu, who matters most akikubali uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kuendeshwa kwa ceteris paribus , atabarikiwa sana na taifa letu litabarikiwa wakiwemo viongozi wetu, watabarikiwa sana, na sisi wananchi wa kawaida pia, tutabarikiwa na kupata neena na mafanikio makubwa, na nchi yetu kupata ustawi mkubwa wa kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Lakini tukiendelea kutumia huu mtindo wetu wa kawaida wa siku zote wa mutatis mutandis, taifa letu tutalaaniwa na viongozi wetu watalaaniwa na kuadhibiwa!, and you never know ni adhabu gani viongozi wetu wakuu wataadhibiwa this time around!.

Mungu Mbariki Rais Samia na watendaji wake wapate uwezo huo katika YEYE, watumie "Ceteris Peribus" kwa vyama vyote na sio kuendeleza "Mutatis Mutandis" ya chama kimoja!.

NB. Sijaweka ufafanuzi wa maneno "Ceteris Peribus" na "Mutatis Mutandis" sio kwa bahati mbaya, nimefanya hivi kwa makusudi mazima, kwa sababu ujumbe huu ni ujumbe mahsus maalum kwa mtu mahsus na maalum na ambaye mattes most namjua na huwa anatembelea sana tuu, humu jf na anamuita Mkuu Max, "mwanangi".

Sasa kwa vile mtu huyo, anayajua maneno hayo. Wengine wote hata msipo yajua, kitu muhimu ni ujumbe umemfikia mhusika.

Hata Mungu alipotaka kumfikishia ujumbe maalum mfalme Belshaza, alimtumia kiganja cha mkono kikaandika kwenye ukuta wake, "Mene Mene Tekeli na Peresi", tukiendelea kufanya chaguzi zetu kwa hizi Mutatis Mutandis badala ya kutumia.

Ceteris Paribus, then amini nakuambia kuna siku Mene Mene Takeli na Peresi itakuja kuishukia Tanzania na kumshukia mtu huyo mahsus na maalum.

Mungu ibariki Tanzania.
Nawatakia Weekend Njema,

Paskali,
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 5
  • 20240907_095744 (1).jpg
    20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 8
  • IMG-20200726-WA0000.jpg
    IMG-20200726-WA0000.jpg
    43.7 KB · Views: 7
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
  • 5808629-57f86e47f2e7305376bcccf74fb56df4.mp4
    2.1 MB
  • 5808626-bde51487c15170759ed7838e0c83538c.mp4
    339 KB
Na ufafanuzi pia
Asitutenge hiyo mutatis mutandias nivijimabo vya tusheria sheria,na maalumu ni tumtu mtu twa sheria maaluum kwa mtu maalum ni simamizi wa hizo mutatis mutandias zao,kwa manufa ya wote P,tafadhali tumaelezo elezo kwa tumtu mtu tusio maalum.
 
Mhh, na komwe langu hilo lililojaa madivisheni ziro ngoja nijikalie zangu kimya.

Mambo ya Ceperi Siteribus ntayajulia wapi mimi kilaza nisiyejua lolote.

Huyo Ceperi Siteribus sijui ndio Kizimkazi au nani?

Nikalale sasa huenda madivisheni foo yangu yatabadilika kidogo angalau na mie niwege na akili.

Cc: Nyani Ngabu FaizaFoxy Mshana Jr Lamomy Confession Mbaga Jr mshamba_hachekwi Poor Brain Kalpana Kapeace binti kiziwi Bantu Lady
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Daaah pumzika kidogo antiel
 
Wanabodi

Wanabodi,
Hili ni ombi mahsus na maalum kwa mtu mahsus na maalum, hivyo hii thread sio thread ya watu wote bali ni thread mahsus maalum kwa mtu mahsus maalum kwa lengo mahsus maalum la
kutumia ujumbe mahsus maalum kabisa kwa mtu wetu mahsus maalum kabisa.

Tanzania sio nchi ya watu fulani tuu au chama fulani tuu, Tanzania ni nchi ya Watanzania wote, wa vyama vyote, dini zote, makabila yote, jamii zote, jinsia zote, rangi zote, hali zote za maisha, matajiri na masikini na Watanzania wa circumstances zote.

Mimi nikiwa mwandishi wa habari, kuna vitu vibaya naviona na vina matokeo mabaya nimeuyashuhudia kwenye chaguzi zetu zote za vyama vingi, zimekuwa zikiendeshwa kwa utaratibu na mtindo wa "Mutatis Mutandis"

Hivyo sasa tunapokwenda kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025 naomba kutoa ombi mahsus na maalum na angalizo muhimu kwa mhusika mkuu who matters most na uchanguzi huu wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, uendeshwe kwa kutumia kanuni ya Kilatini ya "ceteris paribus" na sio kuendelea kutumia hizi kanuni zetu za kawaida za kila siku za "Mutatis Mutandis"!.

Nimesikia sauti, "voices from within" ikiniambia kuwa tukiendelea kufanya chaguzi zetu kwa Mutatis Mutandis, hizi, kuna jambo fulani litatokea tena kama lilivyotokea baada ya mutatis mutandis ya uchagizi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020.

Mhusika mkuu wa uchanguzi huu, who matters most akikubali uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kuendeshwa kwa ceteris paribus , atabarikiwa sana na taifa letu litabarikiwa wakiwemo viongozi wetu, watabarikiwa sana, na sisi wananchi wa kawaida pia, tutabarikiwa na kupata neena na mafanikio makubwa, na nchi yetu kupata ustawi mkubwa wa kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Lakini tukiendelea kutumia huu mtindo wetu wa kawaida wa siku zote wa mutatis mutandis, taifa letu tutalaaniwa na viongozi wetu watalaaniwa na kuadhibiwa!, and you never know ni adhabu gani viongozi wetu wakuu wataadhibiwa this time around!.

Mungu Mbariki Rais Samia na watendaji wake wapate uwezo huo katika YEYE, watumie "Ceteris Peribus" kwa vyama vyote na sio kuendeleza "Mutatis Mutandis" ya chama kimoja!.

NB. Sijaweka ufafanuzi wa maneno "Ceteris Peribus" na "Mutatis Mutandis" sio kwa bahati mbaya, nimefanya hivi kwa makusudi mazima, kwa sababu ujumbe huu ni ujumbe mahsus maalum kwa mtu mahsus na maalum na ambaye mattes most namjua na huwa anatembelea sana tuu, humu jf na anamuita Mkuu Max, "mwanangi".

Sasa kwa vile mtu huyo, anayajua maneno hayo. Wengine wote hata msipo yajua, kitu muhimu ni ujumbe umemfikia mhusika.

Hata Mungu alipotaka kumfikishia ujumbe maalum mfalme Belshaza, alimtumia kiganja cha mkono kikaandika kwenye ukuta wake, "Mene Mene Tekeli na Peresi", tukiendelea kufanya chaguzi zetu kwa hizi Mutatis Mutandis badala ya kutumia.

Ceteris Paribus, then amini nakuambia kuna siku Mene Mene Takeli na Peresi itakuja kuishukia Tanzania na kumshukia mtu huyo mahsus na maalum.

Mungu ibariki Tanzania.
Nawatakia Weekend Njema,

Paskali,
Nimeopokea ila mfumo wa ccm unanibana sana mkuu,
 
Mutatis Mutandis kuhusu uchaguzi serikali za mitaa zinaendelea....
Ingawa najiandikia tuu hapa kama kichaa fulani, hivyo napuuzwa tuu, na hata mwaka 2019 pia niliandika hivi hivi, kulalamikia hizi hizi mutatis mutandis na kushauri ushauri huu huu wa ceteres perobus, Mutatis nikapuuzwa hivi hivi , lakini kilichokuja kutokea...

Hivyo na safari hii endeleeni tuu na hizi mutatis mutandis zenu, muda ukifika wa kukumbushana, nitawakumbusha.
P
 
Mutatis Mutandis kuhusu uchaguzi serikali za mitaa zinaendelea....
Ingawa najiandikia tuu hapa kama kichaa fulani, hivyo napuuzwa tuu, na hata 2019 pia niliandika hivi hivi, kulalamikia hizi mutatis mutandis na kushauri ushauri huu huu wa ceteres perobus, nikapuuzwa hivi hivi , lakini kilichokuja kutokea...
Hivyo endeleeni tuu na hizi mutatis mutandis zenu, muda ukifika nitawakumbusha.
P
Kimsingi uwezo wa ccm kushinda kihalali kwenye chaguzi za nchi hii ilikuwa 2005, baada ya hapo kizazi cha ccm kilifikia tamati. 2015 kama sio mahusiano ya vyombo vya dola na ccm, leo hii ingekuwa kaburi moja na KANU ya Kenya.

Baada ya uchaguzi wa 2015 Magufuli akapewa mkakati wa kuua upinzanI ili ccm indelee kubaki hai, lakini kwa bahati mbaya hakutumia njia za kisayansi, bali mabavu, hapo ndio tulipoanza kushuhudia kwa uwazi chaguzi za kishenzi ambazo hadi sasa ni muendelezo.

Ccm wanapaswa waambiane ukweli, zama zao zimefika mwisho, waheshimu chaguzi maana hiki sio kizazi chao. Sana sana wakiendelea kukaza fuvu, watajikuta kwenye vituo vya wapiga kura na familia zao.
 
Kuna jambo moja kati ya hizi lazima kifanyike na ninatambua kuwa kitafanyika kwasababu kizazi kinakuja na kupitq.
1. Ccm watambue kuwa keki ya Taifa kinatakiwa kiliwe na watu wote na wengine wanataka kuila kupitia siasa kama wao wanavyofanya. Wanavyozidi kutumia mbinu haramu wanazidi kuwasogeza karibu zaidi kutafuta njia tofauti ya kupata keki ya Taifa....wait and see.
2. Vyama vya upinzani hasahasa CHADEMA waache kutumia sheria na taratibu ili waheshimiwe, kuna kizazi kitaingia hapo CHADEMA na kitawaongoza kama kichaa then kitakachofuata ni kutofuata sheria kwani wameshafanya hivyo bila mafanikio hivyo ni kujaribisha njia mbadala. We have nothing to lose kiongozi huyo ndie anasubiriwa.
 
Me
Wanabodi

Wanabodi,
Hili ni ombi mahsus na maalum kwa mtu mahsus na maalum, hivyo hii thread sio thread ya watu wote bali ni thread mahsus maalum kwa mtu mahsus maalum kwa lengo mahsus maalum la
kutumia ujumbe mahsus maalum kabisa kwa mtu wetu mahsus maalum kabisa.

Tanzania sio nchi ya watu fulani tuu au chama fulani tuu, Tanzania ni nchi ya Watanzania wote, wa vyama vyote, dini zote, makabila yote, jamii zote, jinsia zote, rangi zote, hali zote za maisha, matajiri na masikini na Watanzania wa circumstances zote.

Mimi nikiwa mwandishi wa habari, kuna vitu vibaya naviona na vina matokeo mabaya nimeuyashuhudia kwenye chaguzi zetu zote za vyama vingi, zimekuwa zikiendeshwa kwa utaratibu na mtindo wa "Mutatis Mutandis"

Hivyo sasa tunapokwenda kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025 naomba kutoa ombi mahsus na maalum na angalizo muhimu kwa mhusika mkuu who matters most na uchanguzi huu wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, uendeshwe kwa kutumia kanuni ya Kilatini ya "ceteris paribus" na sio kuendelea kutumia hizi kanuni zetu za kawaida za kila siku za "Mutatis Mutandis"!.

Nimesikia sauti, "voices from within" ikiniambia kuwa tukiendelea kufanya chaguzi zetu kwa Mutatis Mutandis, hizi, kuna jambo fulani litatokea tena kama lilivyotokea baada ya mutatis mutandis ya uchagizi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020.

Mhusika mkuu wa uchanguzi huu, who matters most akikubali uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na uchaguzi Mkuu ujao wa 2025, kuendeshwa kwa ceteris paribus , atabarikiwa sana na taifa letu litabarikiwa wakiwemo viongozi wetu, watabarikiwa sana, na sisi wananchi wa kawaida pia, tutabarikiwa na kupata neena na mafanikio makubwa, na nchi yetu kupata ustawi mkubwa wa kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Lakini tukiendelea kutumia huu mtindo wetu wa kawaida wa siku zote wa mutatis mutandis, taifa letu tutalaaniwa na viongozi wetu watalaaniwa na kuadhibiwa!, and you never know ni adhabu gani viongozi wetu wakuu wataadhibiwa this time around!.

Mungu Mbariki Rais Samia na watendaji wake wapate uwezo huo katika YEYE, watumie "Ceteris Peribus" kwa vyama vyote na sio kuendeleza "Mutatis Mutandis" ya chama kimoja!.

NB. Sijaweka ufafanuzi wa maneno "Ceteris Peribus" na "Mutatis Mutandis" sio kwa bahati mbaya, nimefanya hivi kwa makusudi mazima, kwa sababu ujumbe huu ni ujumbe mahsus maalum kwa mtu mahsus na maalum na ambaye mattes most namjua na huwa anatembelea sana tuu, humu jf na anamuita Mkuu Max, "mwanangi".

Sasa kwa vile mtu huyo, anayajua maneno hayo. Wengine wote hata msipo yajua, kitu muhimu ni ujumbe umemfikia mhusika.

Hata Mungu alipotaka kumfikishia ujumbe maalum mfalme Belshaza, alimtumia kiganja cha mkono kikaandika kwenye ukuta wake, "Mene Mene Tekeli na Peresi", tukiendelea kufanya chaguzi zetu kwa hizi Mutatis Mutandis badala ya kutumia.

Ceteris Paribus, then amini nakuambia kuna siku Mene Mene Takeli na Peresi itakuja kuishukia Tanzania na kumshukia mtu huyo mahsus na maalum.

Mungu ibariki Tanzania.
Nawatakia Weekend Njema,

Paskali,
Safii ujumbe mzuri, umetimiza wajibu wako katika "OFISI TATU"

1.ukuhani
2.Unabii
3.Na ufalme kama mkristu mbatizwa

Na nafasi Yako kama mwanahabari na mtanzania mzalendo!!!

Nilifurahi sana kuonana na wewe, kusalimiana nawe mwaka Jana, pale Kalimjee hall siku ile ya kumuaga Mwamba!!! safari yake ya mwisho!!

Nitakutafuta week ijayo narudi soon, nipo huku Mpumalanga South Africa,kwa kazi binafsi!!

Shukrani once again.
 
Back
Top Bottom