Askofu wa Taifa? Lipi, kawekwa na nani?
Amejipambanua, kama alivyofanya baba wa taifa, haina maana wengine siyo mababaSio askofu wa Taifa,ni askofu katika kanisa lake ,nchi yetu hatuna askofu wa Taifa kwa sababu serikali haina dini
Kichwa cha uzi kilimtanabaisha hivyo, kimefanyiwa marekebisho.Maneno "Askofu wa TAIFA" umeyatoa wapi?
Mods warudishe kichwa sahihi cha uzi huuKichwa cha uzi kilimtanabaisha hivyo, kimefanyiwa marekebisho.
Mods ikiwapendeza naomba heading yangu ibakie kama nilivyoiandika. OMBI MAALUMU KWA ASKOFU WA TAIFA, MUHASHAMU ASKOFU BANGOZA, PHD
Amejipambanua, kama alivyofanya baba wa taifa, haina maana wengine siyo mababa
Ata wewe ukifyatua watoto wengi tutakuita mama wa taifa, jipambanue tu bintiTaifa la kikristu ... lenye Askofu wa Taifa[emoji3][emoji3]
Hawa sio wa kuwapa nchi....
Viva Magu 2020 to 2030
Jipambanue mku, iliyo yako sifa tutakupaUnamfananisha na baba wa Taifa hata kwa kumtolea mfano?
huyo ni kiongozi wa wala kitimoto tu
Nyerere alikuwa kiongozi wa wote katika utawala wa nchi.
Viva Magu 2020 to 2030
Ata wewe ukifyatua watoto wengi tutakuita mama wa taifa, jipambanue tu binti
Jipambanue mku, iliyo yako sifa tutakupa
Angefsnya kongamano la.Kwa nini anahubiri siasa?. Si amalize kwanza kuhubiri Neno analodai kuwa ameitwa kwa ajili yake? Si akawahudumie wale watoto wake alowazaa nje ya ndoa huku akiwa kwenye hio nafasi ya "askofu" mhuburi wa siasa?
Alishafundisha Isaya? Yeremia? Ezekiel? Daniel? Matayo? Marko? Luka? Yohana? Naam, vitabu vyote 66 vya bibli?
Huyo ni mbwamwitu tu ndani ya ngozi ya kondoo mwenye kutema nyongo na pakanga ya shetani na kuifunika ndani ya sukuri na kuwaongoza wengi kwa yule Mwovu.
Hapana zilikua za siasa kama Polepole.Hizo nyaraka za Peter na Pauli zilikuwa za siasa kama za Bagonza?
Mfalme Suleiman au Daudi baba yake walikua na wake na michepuko ya kutosha, mambo hayo hayakumshughulisha Mungu, jiratibuWazo zuri sana namkubali Askofu . Kwenye kitabu chake asisahau hiki kipande kifupi πππ
Askofu KKKT ashtakiwa Kwa kupiga Mimba mbili nje ya Ndoa
Mfalme Suleiman au Daudi baba yake walikua na wake na michepuko ya kutosha, mambo hayo hayakumshughulisha Mungu, jiratibu