Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Heri ya Krismas.
Ikulu kuu ya Taifa ya Chamwino iliyopo Dodoma ni Ikulu namba moja duniani kuwa na eneo kubwa sana la Aridhi. Sijasema ni Ikulu kubwa bali ndiyo namba moja kuwa na aridhi kubwa iliyotengwa kwa eneo la Ikulu tu. Majengo tu yamechukua ekari nane na eneo kubwa sana bado limebaki.
Ikulu hii tuliambiwa itajengwa kwa gharama ndogo na SUMA JKT bila kushirikisha wakandarasi binafsi ambao hutumia miradi ya serikali kama mtaji.
Sasa naomba kujuzwa gharama zote za ujenzi wa Ikulu hii kwani ni kama vile kuna USIRI. Mfano siku ya ufunguzi serikali ilikwepa makusudi kutaja gharama hizo.
Kwa Heshima na Taadhima kama mwanainchi naomba kujua gharama za ujenzi za ofisi yetu kuu hii ya Taifa.
Ahsante.
Ikulu kuu ya Taifa ya Chamwino iliyopo Dodoma ni Ikulu namba moja duniani kuwa na eneo kubwa sana la Aridhi. Sijasema ni Ikulu kubwa bali ndiyo namba moja kuwa na aridhi kubwa iliyotengwa kwa eneo la Ikulu tu. Majengo tu yamechukua ekari nane na eneo kubwa sana bado limebaki.
Ikulu hii tuliambiwa itajengwa kwa gharama ndogo na SUMA JKT bila kushirikisha wakandarasi binafsi ambao hutumia miradi ya serikali kama mtaji.
Sasa naomba kujuzwa gharama zote za ujenzi wa Ikulu hii kwani ni kama vile kuna USIRI. Mfano siku ya ufunguzi serikali ilikwepa makusudi kutaja gharama hizo.
Kwa Heshima na Taadhima kama mwanainchi naomba kujua gharama za ujenzi za ofisi yetu kuu hii ya Taifa.
Ahsante.