Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ujerumani iliichapa timu kubwa duniani magoli 7 ilifutwa ile timu?
Hii aibu hii,Team haibebeki.Kila siku hatuna furaha.
Ukiangalia mechi za hii team kila siku roho juu.Haifai hata kwa kulumagia hii team.
Nakuomba chondechonde ifute tu hii team isije ikaha kukutia doa kwenye uongozi wako maana yule mwenzio walimwambia ana gundu.
Mpaka 2025 ndio tuanze tena moja kuliko kuwa na hii aibu.
Hata Brazil walipigwa saba na Wajerumani.
Tanzania bado tuko nyuma sana katika kila kitu.
Mpaka tuwache uhasidi ndiyo tutaanza kuendelea kwenye kila kitu.
Tuongee kutoka moyoni na si mdomoni.
Hata Brazil walipigwa saba na Wajerumani.
Tanzania bado tuko nyuma sana katika kila kitu.
Mpaka tuwache uhasidi ndiyo tutaanza kuendelea kwenye kila kitu.
Tuongee kutoka moyoni na si mdomoni.
Vipi kamati ya Ushindi ya CCM ikipewa hii timu si itashinda mfululizo kwa miaka zaidi ya Hamsini...! maana ccm ni noumer....
Kuna mdau thread yake imefutwa ila alipendekeza Taifa stars igeuzwe Bendi ya Muziki
Usichanganye michezo na siasa. Hutofanikiwa wewe kama ambavyo hajafanikiwa babuyo.
Babuyo alikuwa anacheza mchezo gani zaidi ya kuchezea korodani zake tu?
Hata Brazil walipigwa saba na Wajerumani.
Tanzania bado tuko nyuma sana katika kila kitu.
Mpaka tuwache uhasidi ndiyo tutaanza kuendelea kwenye kila kitu.
Tuongee kutoka moyoni na si mdomoni.
ujerumani iliichapa timu kubwa duniani magoli 7 ilifutwa ile timu?
Babuyo ndio Nani? au unamaanisha Berlusconi wa Italia na AC Milan? au Jakaya na Stars? maana korodani ndio tezi dume unamaanisha?